donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
- Thread starter
- #141
Hahaha usiwaze mkuu ngoja tuchekeche tuone leo tunatoka vipiMida ya misosi bwana misosi fanya tukaribishane
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha usiwaze mkuu ngoja tuchekeche tuone leo tunatoka vipiMida ya misosi bwana misosi fanya tukaribishane
Pamoja sana
Teh Teh tehUnataka tujadili kitu gan hapa tujadili vimin vya wadada au tujadili hiyo gar uliyoazima?
Cc baby mbitiyaza
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi hata siwalaumu wao,ila nawalaumu wanaume walio waoa kuwaacha watoke na mavazi ya usiku kwenda ofisini.Mi mke wangu havai ujinga ujinga hata kama tuna mtoko,lazima ajiheshimu kama mke wa mtu.
Hahahaha mkuu bado tu unanisakama aisee kweli nimeamin adui mwombee jaa
Nakuona unaendelea na vijembe vya chin chinHahah hebu angalia sasa your full name how it sounds silly, "MBITIYAZA NANYUPU'. Mama, wewe ni mtaalam wa tiba za jadi ama? Walau mtoto unaita (unafupisha) 'Ya Lucchese' kidogo it sounds sexy
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaahaHahahaha mkuu bado tu unanisakama aisee kweli nimeamin adui mwombee jaa
Sent using Jamii Forums mobile app
HayaWanaume wapiga chabo ni wambea sana, siku nyingine ukiazima gari azima na mvaa kimini ili usiwe unachungulia vya wenzio
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaa kweli umeingia chakA khanWatanzania ndio maana hatuendelei, ivi mavazi ni kitu cha kukaa na kudiscuss??? Anaingiaje ofisini inakuhusu nini ww?? Ila kawaida sketi futi ya size ya magoti ukikaa inapanda sasa uko kwenye ndinga yako uangaike kuivuta ili iweje?? Simple minds discuss pipo...endeleeni kudiscuss umni wake wkt mmeshikilia bomba hapo ha ha ha
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Tawire. Hapa kuna mmoja kashusha kioo hadi mwisho anakata mauno ngoma ya seduce,me ndani ya spacio yake. [HASHTAG]#Morocco[/HASHTAG] mataaWanavaa vibaya sana. Mimini ya hatari sana
Ngoja kwanza nimalizie dona langu na dagaa kwa kisingizio cha kujenga mwili
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na kimi nikipata ya kwangu nitatembea na kichupi tu. Si gari yangu[emoji2] [emoji2] [emoji2]Tawire. Hapa kuna mmoja kashusha kioo hadi mwisho anakata mauno ngoma ya seduce,me ndani ya spacio yake. [HASHTAG]#Morocco[/HASHTAG] mataa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala si kisingizio ni kwel unajenga mkuuNgoja kwanza nimalizie dona langu na dagaa kwa kisingizio cha kujenga mwili