nikolas digala
Member
- Aug 7, 2016
- 42
- 25
tutakaa kweli tuweze kutengeneza makombora ya masafa marefu kwa akili kama hizi?
hiyo ID yako kule kwetu ni tusi mkuu!Asante hata mama ako alibadilishwa kwa Mkungu wa ndizi na kibuyu cha asali
ππππ‘π‘π‘Akili yangu naijua Mwenyewe
[emoji122] [emoji122] [emoji122].....umejibu vizuri bila kumtusi mtu wewe ni dada mzuri!Hajashindwa kumtunza mwanae ila ni mila na desturi binti akifikisha umri fulani inatakiwa aolewe .... Mzazi wangu hata siku moja hajawahi niambia oooh nikubadilishe na ng'ombe mara mbuzi nimechoka kukutunza walaaaa kanipa choice ukipenda sawa usipopenda sawa ... Looo kua na adabu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Akili za kimaskini hizi.. Kwani lazima wote tutengeneze makombora?
Pambana na hali yako!!