Palina
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 3,551
- 9,522
AyaHahaha sitii neno mkuu ๐๐๐๐ hapo ni ww tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AyaHahaha sitii neno mkuu ๐๐๐๐ hapo ni ww tu.
Mishe.mishe ajesijambo dada mkubwa
Kaka mdogo ni hizi autocorrect ๐๐unasemaje?๐
Hamna namna, kua mpole hata Ronaldo kapita hukomishe ndo ile ile, kula ugali wa shkamoo๐
Niombee kwa MUNGU wako upate shem wauhakika ๐๐msalimie shemeji๐
Bibie, Mara nyingine ukiingia period na tumbo kukuuma sana fanya hiviHapo vi ungeweka mi asee
Ni mi cramps
Maumivu yake ๐
Mtu hadi unajiuliza kiunoni na tumboni kuna ishu gani ๐ฅ
Bibie, Mara nyingine ukiingia period na tumbo kukuuma sana fanya hivi
Chemsha Tangawizi iwe kali sana na ichemke haswaa, Tia Asali Mbichi unywe ikiwa ya moto. Utalisikia litakakopotelea baada ya muda mchache tu.
Nb; Sitaki mtu Pm
Umewahi kutumia Mziwa ziwa?Mkuu,ulichoandika nilishafanya mara nyingi lakini hakuna unafuu
Halafu ajabu umeni-quote wakati ambao na-experience hayo maumivu