Palina
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 3,551
- 9,522
Ninazo hapa kwangu ila nazivaa nikienda kwa babe basiNimekununulia moja🤣
Zishaganishinda, kuna day nilivaa job nilijuta mwwnyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninazo hapa kwangu ila nazivaa nikienda kwa babe basiNimekununulia moja🤣
mbavu🤣🤣Sasa si kananuka mtaro?
Ni sawa upo uchiUkiingia period ukiwa umevaa bikini ni sawa na ambae hajavaa kitu 😂
Upande wa mbele 😁😁Hahaha kikamba ndo utamu wa bikini ulipo,ukitoe ukiwe upande upi 😅
Hee😀uchafu
Hapo vi ungeweka mi aseeNa vi cramps juu
Yes unaloa afu na kale kaharufu ka K ikiloa lazima kasambae maana K haiko covered ni sawa hujavaa chupi tuJamani 😂😂😂
Mbona kuloa 🙌🙌
period unavaaje hiko jamani si kutafuta kuchafuka😬Ukiingia period ukiwa umevaa bikini ni sawa na ambae hajavaa kitu 😂
Ni sawa upo uchi
Kwanza naonaga ni uchafu
Aah whisky eeBlak n white...hahaa..hiyo inanileteaga kukohoaaa
Hivi kumbe kikamba kinagusa hadi hapa mbele!Upande wa mbele 😁😁
Ila Wanawake tuna harakati za kuchosha kwa kweli🤷🏼♀️
Palina kuwa honest...kwamba smell inasambaainakufikia huki juu??Yes unaloa afu na kale kaharufu ka K ikiloa lazima kasambae maana K haiko covered ni sawa hujavaa chupi tu
Heri nibaki usukumani 😒😒
🤣🤣🤣Yes unaloa afu na kale kaharufu ka K ikiloa lazima kasambae maana K haiko covered ni sawa hujavaa chupi tu
Heri nibaki usukumani 😒😒
Wine..ichek.ipoAah whisky ee
Si unajua kuna periods zinakujaga ghafla bin vuuperiod unavaaje hiko jamani si kutafuta kuchafuka😬
Kunogesha niniKuvalia nguo za vitambaa......
KUnogesha
Aah haifiki juu ila.kwa anaekusogelea ila kwa weww kama wewe lazima ujihisi hasa ka mtu akikutekenya that dayPalina kuwa honest...kwamba smell inasambaainakufikia huki juu??