Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,506
- 2,518
Itakuwa inauma kwa wanao vaaπ¬πHivi kumbe kikamba kinagusha hadi hapa mbele!
Sasa si inauma π
kijana wa hovyoπTunao soma comment tujuane tafadhali yaani siruki ata moja nasoma zoote!!π
Hivi wanaovaa hizo kamba huwa wanafunika nini kwaniNinazo hapa kwangu ila nazivaa nikienda kwa babe basi
Zishaganishinda, kuna day nilivaa job nilijuta mwwnyewe
π€£π€£π€£π€Duh kakaSasa hiyo kamba si itayeyuka kwa joto?
Wengine wanajisau nikiona tarehe tu huwa natembea na zana zangu.Si unajua kuna periods zinakujaga ghafla bin vuu
Ni fashion na urembo tuHivi wanaovaa hizo kamba huwa wanafunika nini kwani
Kwani ww msukumaπππ mi siwezi kwakweli
Tena hizo vitambaa navaaga chupi za usukumani na taiti juu πππ.
Nikivaa hivo sijiamini kabisa πππ
Hakuna kufunika hapo ni urembo wa siriHivi wanaovaa hizo kamba huwa wanafunika nini kwani
Napitia hapa moja baada ya nyingine series tamu kweli hii πTunao soma comment tujuane tafadhali yaani siruki ata moja nasoma zoote!!π
Kwani ww msukuma
Kuna watu watadinda hapaNapitia hapa moja baada ya nyingine series tamu kweli hii π
Nilipata BKiswahili ulipata ngapi?/ tusichoshane rafiki angu
Hapa mimi ni kama bus linalotaka kuondoka stand linaenda linarudi πKuna watu watadinda hapa
Anyway ππππ
Mwalimu alipokua akifundisha UTATA form two wewe ulikua wapiNilipata B
MwakimuπMwakimu alipokua akifundisha UTATA form two wewe ulikua wapi