Wadada hili vazi ni kwa ajili ya nini haswa?

Wadada hili vazi ni kwa ajili ya nini haswa?

Ebu mage mzigo kama wa Antonnia au Bantu Lady uwe valishwaa hako kadudeee mtaaalmu... ebu imagine usisubili ya kuambiwaaa... sema wavaa tight nao wanakta stimu... unakuta tight ndefu kama suluwale
Mimi nataka chupi kama jina lake mkuu🤣🤣
Mbona kuniangusha Kaka ake🤣🤣🤣 Hiko kivazi cha Kazi, Kwanza hakivuliwagi Ile 1st round, kinasogezwa pembeni hivi.....koh, koh.....
Hahaha, wallah nyie watu!!
 
Kinachoniwazisha sio hizo kamba kamba ila ni namna kinavyouzwa

eti nilikiulizia mahali wakaniambia 25k duka la kawaida kabisa yani

mimi nawaza hizo kamba mimi nauziwa 25k hivi wachina wako serious?

ni material yamepanda bei ni labour fee imewekwa humo au transport fee?
 
Halafu kuna mwanamke anataka jinyonga anaenda nunua kamba eti,wakat anatembea na kamba kila anapoenda,wadada mmerahisishiwa sana mambo hasa wale wadada wa iringa mnaotaka jinyonga.
 
Back
Top Bottom