Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Hizo kamba zipite katikati ya round ass....🙄 Kama haujawahi kuona wakipendeza naomba ruhusa nkutumie picha uone kwa mara ya mwisho 😁Uzuri wake uko wapi Palina, sijawahi kuona wakipendeza hao wanaozivaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tuma tu, nasubiria!Hizo kamba zipite katikati ya round ass....🙄 Kama haujawahi kuona wakipendeza naomba ruhusa nkutumie picha uone kwa mara ya mwisho 😁
Kinavyoingia katikati ya makalio mi nashindwaga mana hata nikitembea nguo inazamiamo humo nikiinama ndo kabisaaa[emoji23][emoji23][emoji23] mi siwezi kwakweli
Tena hizo vitambaa navaaga chupi za usukumani na taiti juu [emoji19][emoji19][emoji19].
Nikivaa hivo sijiamini kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
mo mpaka najishangaa yani P yangu naweza kimbia marathon mana sichafuki kiivyoBasi watu tunatofautiana sana
Mie day one nabadili kila muda,na usiku ndio muda zinatoka kwa uchache mno
Tofauti ya chupi za zamani, na za kisasa……View attachment 2685830
Women are very complex
Hii manati au kombeoView attachment 2685830
Women are very complex
Kuna watu mnavaa taiti. M nmeachia sekondary hukoMy day bila taiti haiwezekani 😂😂😂
Ila sio mbaya tunatofautiana
Una mdomo mchafu wewe dogo🤣🤣🤣Maana wengine tupo kama beberu.. lazima tufike nusa nusa na kulamba lambaaa kale ka hali kanaongeza nguvu za kiume kinomaaa....
Bado Uzi wako haujakaa sawa😆Hello
Kila mtu avae anachopenda asanteni
Hapo unakuta akiinama,. kikamba kinamtekenya tekenya basi anasikia raha kweli.View attachment 2685830
Women are very complex
🤣🤣🤣🤣🤣daaahkumbe zinanutaka, mie najua huwa zinanukia kaharufu flani hivi huwa kana ubaridii kama wa furiji.. amzing... kumbe zingine zanukaa
Hili bikini kiuno size 150 hili🤪🤣🤣🤣🤣View attachment 2685830
Women are very complex
Yaani kila.siku ka doziKuna watu mnavaa taiti. M nmeachia sekondary huko
Inaleta rahaYaani kila.siku ka dozi
Yaani hizi hazifai ka unaenda sehemu za heshimaKinavyoingia katikati ya makalio mi nashindwaga mana hata nikitembea nguo inazamiamo humo nikiinama ndo kabisaaa
Yes unajiamini, na kuepuka magonjwa kama.K kupoteza.jotoInaleta raha