Wadada jitahidini kupaka mafuta makalio yenu

Mwanaume apake kalio lotion? Tutake radhi tafadhali?
 
Ila ulaini wa matako nao hauchangiwi na mafuta ni nature ya mtu tu! Ila ni muhimu kupaka ili kupunguza mpauko lol
 
Hahahaaaa. Niamini tu mkuu ni gumu kuliko.
Anayeaminiwa bila kuonwa ni muumba tu vingine vyote hatuamini mpaka tuone Nipe nafasi ya kuprove Nikikuta gumu nitalilainisha usije ukanangwa kama mwenzako
 
Broo ulienda kufanya nini kwenye hayo makalio, siyo kweli kuwa wewe ni dokta, na kama dokta upo mkoa gani ambako akina dada makalio yao ni magumu? .
 
Ah sasa mi nipake makalio mafuta ya nn
 
Hao wa kwako huwa unawazoa wapi? maana haya ndio nasikia kwako.
 
Shilole anaweza sana mambo hayo ya kupaka mafuta itabidi tumuite kwa semina elekez
 
We pande zp mtaniiii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kwani watani zako wanatokea pande zipi. Katika pande utakazoziwaza basi moja natokea mimi mtani wako.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kwani watani zako wanatokea pande zipi. Katika pande utakazoziwaza basi moja natokea mimi mtani wako.
Hahaha utakua mzaramo wa msanga ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…