Wadada jitahidini kupaka mafuta makalio yenu

Wadada jitahidini kupaka mafuta makalio yenu

Hilo gonjwa liko upande wa pili kwa wanawake wala halipo hivyo tuacheni. Tulio wengi tukitoka kuoga mpaka mwili mzima uenee mafuta ndio tunaanza kuvaa nguo.

Upande wa pili ndio hii shida imeshamiri yaani unaweza ona mwanaume kapauka kuanzia uso, midomo mpaka viganja vya mikono sasa kama huyo unadhani atakuwa kakumbuka kupaka kalio mafuta kweli.

Penye ukweli usemwe na sio kila siku kulalia upande mmoja.
Hahaha sio kweli
 
Kwa kweli haipendezi hata kidogo kukuta mtoto wa kike anakalio gumu.

Kama umeshindwa kununua lotion kwa ajili ya kupaka makalioni basi pakaa hata mafuta ya nazi au mafuta ya kula.

Haya usiku mwema

Niliamka kidogo kuwapa ushauri.
We kijana kama demu wako ana kalio gumu usifkir wanawake wote wapo ivo.
 
Kwa kweli haipendezi hata kidogo kukuta mtoto wa kike anakalio gumu.

Kama umeshindwa kununua lotion kwa ajili ya kupaka makalioni basi pakaa hata mafuta ya nazi au mafuta ya kula.

Haya usiku mwema

Niliamka kidogo kuwapa ushauri.
Kama demu wako ana kalio gumu usifikir wanawake wote wapo ivo ndugu.
 
Back
Top Bottom