Wadada mliowahi kudate na wakaka wakimasai wanaouza dawa za kuongeza ukubwa wa dushe njooni mnijibu maswali haya

"Usibanebane sana utazikwa nayo" In Marioo Voice[emoji2]
We mpee tu utapata majibu yote yanayokusumbua
 
1.Huwa ni kweli kuwa wanamitanange mizito na minene? Maana wakiwa wanauza dawa zao huwa wanasema zinaongeza ukubwa wa dushe.

2.Kimapenzi wanarizisha?

3. Hawaumizi mpaka inakuwa kero?
Hamna ktu usidanganyike wale huwa wanasaga mizizi ya miti na magome ya miti alafu unaambiwa ni dawa ya kuongeza dushe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…