IFRS
JF-Expert Member
- Dec 19, 2014
- 2,915
- 5,233
Watu wa jf kwa "mrejesho", tungekuwa tushaambiwaNi vile hawatangazi tu, ila wanapata na wanafunga ndoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa jf kwa "mrejesho", tungekuwa tushaambiwaNi vile hawatangazi tu, ila wanapata na wanafunga ndoa.
Trust me, wapo.Watu wa jf kwa "mrejesho", tungekuwa tushaambiwa
[emoji3] [emoji3] nimetokaaa kifungoni aisee central tulikua wengi balaaplus inna... leo zimetoka kama njugu
[emoji3] [emoji3] nimetokaaa kifungoni aisee central tulikua wengi balaa
[emoji23] poleniDuuh! Nahisi kama nilikua I.C.U
[emoji27][emoji27][emoji27]
Mimi nko na niko serious uko wapmimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
Ntumie e mail ykomimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
Asante[emoji23] poleni
PoziiAsante
We acha tu[emoji28][emoji1]ban ya kustukia,ngoja ninyamaze nisije kula ban ingn[emoji87][emoji23]Na wewe umechezea ban!?
Mamaee mods hawana huruma mpaka virembo.
Alafu ww umesalimikaje mbona tulikua wote kwenye ule uzi au una undugu na mods[emoji23] poleni
mlifanya nini?We acha tu[emoji28][emoji1]ban ya kustukia,ngoja ninyamaze nisije kula ban ingn[emoji87][emoji23]
mlifanya nini shosti?Duuh! Nahisi kama nilikua I.C.U
[emoji27][emoji27][emoji27]
Ha haa mbona nyie mmesalimika jamani? Nadhani wote kwenye ule uzi tusharudishwaAlafu ww umesalimikaje mbona tulikua wote kwenye ule uzi au una undugu na mods
walifanya nini eti?Ha haa mbona nyie mmesalimika jamani? Nadhani wote kwenye ule uzi tusharudishwa
Kupiga umbea kwenye uzi wa watu [emoji23][emoji23][emoji23]mlifanya nini shosti?
Ntajuaje shoga,yani nafungua kitu hakikubal,kucheki kumbe ban hahaha nlibaki kutumbua macho,nkaishia kutizama watu wanachopost lkn kureply siwez [emoji23],kuchunguza dahh kumbe wengi tumekula ban..nnawaswa mods mpya itakua kaletwa so alikua anafanya interview ya kuwapa watu ban [emoji50]mlifanya nini?
Ntajuaje shoga,yani nafungua kitu hakikubal,kucheki kumbe ban hahaha nlibaki kutumbua macho,nkaishia kutizama watu wanachopost lkn kureply siwez [emoji23],kuchunguza dahh kumbe wengi tumekula ban..nnawaswa mods mpya itakua kaletwa so alikua anafanya interview ya kuwapa watu ban [emoji50]mlifanya nini?
ahaha kwani umbea tumeanza leo?Kupiga umbea kwenye uzi wa watu [emoji23][emoji23][emoji23]
Uzi gani?Ila ukomeHa haa mbona nyie mmesalimika jamani? Nadhani wote kwenye ule uzi tusharudishwa