Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
😀Nimeipenda hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀Nimeipenda hii
Hata kabla hujaomba mizinga inaanzaNa nyie mmezidi kuomba pussy
😂😂😂hahahaaa kijana acha ku panic...ukingia katika gemu kama hizi.....ni ivi ukikutana na mdada mwenye.....wa aina hii unachotakiwa ujifunzee....mchezoo...unaitwa nusu kaputi yaani ....ukiobwa hela....unamjibu mdada hivi....""usijali mpenzi njoo getto ujee uchukue....maana line yangu ya tigo pesa au mpesa zina matatizoo njoo getto nikupe"" halafu kwa maliziaa ...ukisemaa mwaaa halafu dia nina nyeg""e....uone kama atakutafutaa .....wala kukuomba hela""" mwambie njooo getto uchukuee usikie majibu yakee
Hii nyuzi ilinipita vipi aisee toka 2014??Daah! jamani hii ni hatari yaani usimzoee mdada kidogo tu hata hujamtongoza kashaanza kukupiga mzinga mara ninunulie simu, hela saloon, mara weekend twende wapi! mara mama anaumwa naomba uniongezee hela ya dawa.
Kina dada hali yenyewe si mnaiona jamani?
Mbona mnataka tuwe wezi bila kutaka?
Au simu imedondokea kwenye maji. Yaani daah!!Dear simu yangu imevunjika kioo
We kibokoMim kabla ya kunipiga mzinga,mim ndo huwa wakwanza kumpiga mzinga ili ajue hapa ni patupu..loading error...
ME: Poa. Nitume mtandao gani.Babe sina umeme na wapangaji wenzangu wameshangishana .nisaidie 20lov wangu😊
Ahahaa..sema inakerasana kusema tuma na yakutolea...but raha sana kumpa mwanamke wako hela jamani semeni ukqeli! Ila inaboa anayeomba omba kila mara!mtupe tuME: Poa. Nitume mtandao gani.
KICHECHE: tuma na ya kutolea
Ukiona message inasomeka, ( bby, mme wangu mambo, nikwambie kitu) apo mwamala