Wadada mmezidi kupiga mizinga (kuomba hela)

😂😂😂
 
Hii nyuzi ilinipita vipi aisee toka 2014??
 
Umenikumbusha machungu,kuna kitoto nilikitongoza tangu mwaka jana mpaka leo sijakatafuna ila nimepigwa mizinga karibia arobaini elfu inafika. Najaribu kaje nikapige mpini mara ooh naogopa namna ya kutoka,mara niko bleed,mara naomba nauli.
Ila hiyo hela katailipa siku yake ngoja nijifanye mtaka cha uvunguni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…