Wadada mmezidi kupiga mizinga (kuomba hela)

Kama ukweni nyumba imebomelewa itajengwa na wakwe au mashemeji.
 
True. Wadada ni wasumbufu mno. Kuna mmoja nilimtongoza ananiorodheshea matatizo balaa.
 
Gold diggers
 
hivi kama kitu umepewa bure kwa nini we utoze hela kumpatia mwenzako?
kwa mfano mi ni free of charge kwa anaetaka ku use my dushe.
na cjawahi kumtoza mtu kwa wote waliowah kuniomba.
Toa na tigo free basi io pia c umepewa bure
 
Kwangu BIG NO kuna mmoja kanitumia juz sms eti upo emergency hospital mama ake kazidiwa sikumjibu kitu mm
 
Mkuu ata Mimi nilikua sijui maana yake kumbe k=1000
30*1000=30,000/=
Hii Ni sawa na unit za umeme(SI)
K=kilovolt=1000,
M=Megawatt=10,000.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…