Wadada mmezidi kupiga mizinga (kuomba hela)

Wadada mmezidi kupiga mizinga (kuomba hela)

Ukitoa pesa umependa mwenyewe! Zaidi ya kamsimbazi kamoja au nusu yake sitoi mwanawane na ninagonga videmu vya uhakika kwa dau hilohilo.
 
Kuna mmoja pale iringa alikuwa ananisumbua sanaaaaa... Nikamtumia laki 3 kwenye simu wakati tuko gesti nikatikita goma kavu kavu mpaka nikakinai..nikatoka nje nikapiga simu voda kuwa nimekosea kutuma hela naomba wairudishe...wakaiblock kwake ikarudi kwangu...asubui niko njiani narudi dar ile nafika mikumi network inashika nakutana na mimeseji ya matusiiiiii....masikini alienda mpaka vodashop wakamwambie mpunga umerudishwa kwa mwenyewe...shenzi ...yaani niko town kitambo afu ninunue mbunye iringa kwa laki tatu? Tufyakwaaa

Haa kijana inajisifia kuburiza reli??
Onyo: UKIMWI UNAUA
 
Kabla sijaolewa nilipgaga sana mizinga kwa wanaume ambao nilikua siwapend hakuna mtu aliekuja kuamini nilipofall my friends were in great shock nilifall kwa mtu ambae kipnd hcho hakua na ktu kabsa anaish kwa bumu tu na sikumuomba hata mia
My take: mtu anaekupga mznga hakupend hahahaha ila kwakuwa na nyie mnataka vipwampwiso endeleen kuhonga😀😀😀

Uligongwa na wangapi kabla hujaolewa?
 
kwaio kisa nimekutongoza ndio umepata tiketi ya kua tegemezi kwangu.? yani mpka pesa ya kununu topaz ya kunyolea vutu zako nikupe mimi.?

kwani mwanzoni alikua anakupa nani.?

acheni kujiendekeza ndio maana mnaliwa na kuachwa ovyo.

Ha haaa umepanik bulaza...relax
 
wote wanini hao jamani khaaaa!

Back ups tu,kama vile kua na power bank wakati ukiwa umeme umekatika au haupo unatumia. Wadada wenyewe wa siku hizi hawaeleweki ukiwa na mmoja unaweza kulia at any time t maana hawasomeki hivyo unakua na backup.

Kwenye ulimwengu huu wa sasa kua na mwanamke mmoja ni kujitaftia ugonjwa wa moyo pamoja na kifo cha kujitakia cha gafla. One lover at your own peril.
 
blessings yamekukumba yepi tena mkuu wangu mbona unalalamika kama umeombwa milioni? kama huna si unamuambia tu kwamba hali mbaya au ndo unajikaza kisabuni unatoa huku roho inauma?

Issue is it makes them look cheap nd worthless....inakera, inaboa, inachefua sanaaaa mtu unajua kabisa yuko na ww sababu anataka kitu flan toka kwako.
 
mie wanachonishangaza ni kwamba ukimwambia huna utasikia kumbe at elf hamsini inakupiga chenga....amesahau kuwa yeye mwenyewe kashindwa ipata...haya basi vua chu.pi nikupe oh nitumie kwanza kwenye mpesa loh....

Hua sionagi haya kumuambia sina tena bila aibu. Trust me on their side it makes then look sooo cheap nd stupid. Ndio maana wengi ukiwaambia hvyo wanakuchukia kinoma nd sometimes wanaku block hata whatsapp.

Jaribu utakuja niambia.
 
Back
Top Bottom