Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Mmh ntaomba na Mimi nirushiwe...ila sitokufanyia fadhila yeyote
Ha haa tuma barua ya maombi wa njia ya KLM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh ntaomba na Mimi nirushiwe...ila sitokufanyia fadhila yeyote
labda nauli ya kuzimu
Kuna mmoja pale iringa alikuwa ananisumbua sanaaaaa... Nikamtumia laki 3 kwenye simu wakati tuko gesti nikatikita goma kavu kavu mpaka nikakinai..nikatoka nje nikapiga simu voda kuwa nimekosea kutuma hela naomba wairudishe...wakaiblock kwake ikarudi kwangu...asubui niko njiani narudi dar ile nafika mikumi network inashika nakutana na mimeseji ya matusiiiiii....masikini alienda mpaka vodashop wakamwambie mpunga umerudishwa kwa mwenyewe...shenzi ...yaani niko town kitambo afu ninunue mbunye iringa kwa laki tatu? Tufyakwaaa
Usitongoze basi...
Kabla sijaolewa nilipgaga sana mizinga kwa wanaume ambao nilikua siwapend hakuna mtu aliekuja kuamini nilipofall my friends were in great shock nilifall kwa mtu ambae kipnd hcho hakua na ktu kabsa anaish kwa bumu tu na sikumuomba hata mia
My take: mtu anaekupga mznga hakupend hahahaha ila kwakuwa na nyie mnataka vipwampwiso endeleen kuhonga😀😀😀
kwaio kisa nimekutongoza ndio umepata tiketi ya kua tegemezi kwangu.? yani mpka pesa ya kununu topaz ya kunyolea vutu zako nikupe mimi.?
kwani mwanzoni alikua anakupa nani.?
acheni kujiendekeza ndio maana mnaliwa na kuachwa ovyo.
wote wanini hao jamani khaaaa!
blessings yamekukumba yepi tena mkuu wangu mbona unalalamika kama umeombwa milioni? kama huna si unamuambia tu kwamba hali mbaya au ndo unajikaza kisabuni unatoa huku roho inauma?
mie wanachonishangaza ni kwamba ukimwambia huna utasikia kumbe at elf hamsini inakupiga chenga....amesahau kuwa yeye mwenyewe kashindwa ipata...haya basi vua chu.pi nikupe oh nitumie kwanza kwenye mpesa loh....
Ha haa tuma barua ya maombi wa njia ya KLM
Hee makubwa.... Nisije kupwelepweta bure
Bora umejistukia mapema tehe tehe
Subir siku yako ya "Valentine" huwa nawatumia sana ila ni once in a year
Unawatumia hela ama?