Wadada mnajisikiaje mnapo tongozwa na mkaka ambaye humjui Wala yeye hakujui?

Wadada mnajisikiaje mnapo tongozwa na mkaka ambaye humjui Wala yeye hakujui?

Nimemzingua leo kaniitia modes, halafu huyu atakuwa mke mwenzangu mana nimekuta notifications nyingi za kuniita..!!

Huyu hukunitambulisha kaamua kujitambulisha mwenyewe 🤣🤣🤣
😂😂😂
 
😳Mbona sielewi cocastic ni bro au ni pisi

Ni jamaa ila ni shoga.

Usije ukajichanganya.
Ni msela kabisa ana vigimbi kama mcheza mpira, kuna siku kaweka picha humu.

We avatar isikudanganye.

Na wewe unatongozwaga? 😯😯 Wanaume tuna huruma sana asee

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akikujibu nitag

cocastic we ni pisi au mwamba
sio muda naona watu mtaanza kuzungumza ukweli😂😂
 
Nimemzingua leo kaniitia modes, halafu huyu atakuwa mke mwenzangu mana nimekuta notifications nyingi za kuniita..!!

Huyu hukunitambulisha kaamua kujitambulisha mwenyewe 🤣🤣🤣
We mtoto 😛😛
 
Back
Top Bottom