Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
πππNimemzingua leo kaniitia modes, halafu huyu atakuwa mke mwenzangu mana nimekuta notifications nyingi za kuniita..!!
Huyu hukunitambulisha kaamua kujitambulisha mwenyewe π€£π€£π€£
π³Mbona sielewi cocastic ni bro au ni pisi
Ni jamaa ila ni shoga.
Usije ukajichanganya.
Ni msela kabisa ana vigimbi kama mcheza mpira, kuna siku kaweka picha humu.
We avatar isikudanganye.
Na wewe unatongozwaga? π―π― Wanaume tuna huruma sana asee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akikujibu nitag
sio muda naona watu mtaanza kuzungumza ukweliππcocastic we ni pisi au mwamba
We mtoto ππNimemzingua leo kaniitia modes, halafu huyu atakuwa mke mwenzangu mana nimekuta notifications nyingi za kuniita..!!
Huyu hukunitambulisha kaamua kujitambulisha mwenyewe π€£π€£π€£
πKak nimepewa onyo, ndo bado natafakari.sio muda naona watu mtaanza kuzungumza ukweliππ
Ukweli uzungumzwe mara ngapiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sio muda naona watu mtaanza kuzungumza ukweli[emoji23][emoji23]
Muda wote upo ready [emoji23]Tunajisikia vizuri tu, uko wapi kwani......
AstaghafilullahZamani unatembea na barua mpaka inachanika, sio siku hizi mambo yamekuwa rahisi mno, mbele ya pesa unapewa tumbua na utumbo juu.