Mkuu Google kama ulikuwa kwenye akili yangu yaani hapa kuanzia kesho sifiki bunju mapema...natembea na track suit napaki katolori kangu Juliana au Budget bar na mimi naanza tizi....kuna watoto wakali huku kinoma halafu wanavaa kimitego sana, juzi kati nikamuona yule mdogo wa vanessa mdde huku Kunduchi nae kapiga vitu vya namna hii dah! Mkali sana
Buza kuna vipanya road huko vinatembea na syringes za damu , huko sijiHamia Buza mkuu, huku tunafanya mazoezi na madira, hakika sehemu zako zitakua salama tu.
Mkuu najitahidi nikuletee picha halisi sio ya kudanlod subscribe kabisaYan sijui ndo nini? Nyuzi tam km hii huwez pita bila picha...ni uzushi bhana.
Tupia pichaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kweli halafu hawa ni watoto wa geti kali wake za watu madogo wa vyuo wameiva kinyama yaani...yaani mistari ya andazi unaisoma tu ulee full muumuko yaan dah
Madanga yale ya ambianz hayana mzuka man...we njoo huku Mbezi beach chini jitege tu pale Hangover utaona watoto wakali kinyama wanafanya evening walk kama familia ya Obama....wameumuka nyumambele kinyama full mzuka yaanKama hao tu wanakusumbua hivyo ukipita ambiance si utagoma kabisa kuondoa gari
Huko buza si ndo mnakocheza vigodoro na matarumbeta uchi uchi mchana kweupeHamia Buza mkuu, huku tunafanya mazoezi na madira, hakika sehemu zako zitakua salama tu.