N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Wenye sijui mnaita matembezi ya jioni
Yaani wanavaa viutumbo halafu transparent halafu mavazi ya ndani yanaonekana laivu...kwa mfano leo narudi zangu home kutoka job huku Mbezi Beach karibia na Juliana yaani kuna dada ameumbikaa huuyoo halafu katuvalia tight lutumbo na kiwalo cheupe cha ndani yaani kinaonekana laivu dah eneo langu nyeti likaanza kuhangaika na alimanusura nimgonge jamaa na liVW lake kwa nyuma.
Mtuhurumie jamani na najua wengi ni wadada ambao mko likizo ya COVID-19 kwa hiyo mnaweka miili active ila mnatuteza jamani vaeni nzitonzito mtasababisha ajali !
Hata asubuhi hali ni hiyohiyo...karibuni mitaa ya huku
Yaani wanavaa viutumbo halafu transparent halafu mavazi ya ndani yanaonekana laivu...kwa mfano leo narudi zangu home kutoka job huku Mbezi Beach karibia na Juliana yaani kuna dada ameumbikaa huuyoo halafu katuvalia tight lutumbo na kiwalo cheupe cha ndani yaani kinaonekana laivu dah eneo langu nyeti likaanza kuhangaika na alimanusura nimgonge jamaa na liVW lake kwa nyuma.
Mtuhurumie jamani na najua wengi ni wadada ambao mko likizo ya COVID-19 kwa hiyo mnaweka miili active ila mnatuteza jamani vaeni nzitonzito mtasababisha ajali !
Hata asubuhi hali ni hiyohiyo...karibuni mitaa ya huku