Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
napenda kuonekana tofaut ,, napenda sana mavazi,, kitenge style,, na handbags,Wadada mnapenda kununua nini ambacho hamtaki kiwe mbali na nyie? Yani kitu/vitu gani hua mnapenda kua navyo kiwe cha kuvaa ama kutembea nacho mahala popote hata ukiwa safarini.
Kitu/vitu gani hua vinawapendezesha macho au mkiwa navyo una feel uko updated
Wewe ni Adam au Eva?? Sorry lakini.Napenda saa, raba pamoja na begi la mgongon ka naenda tution vile kumbe nilisha graduate kitambo
Usijal mkuu mi ni evaWewe ni Adam au Eva?? Sorry lakini.
Safiii, nimependa unavyovaa,Usijal mkuu mi ni eva
umesahau na dela la shughuli na la kumchambia yule shoga wa mtaa wa saba.Shoes.
haaaaaaaaaaaaaaaaahaujamkuta kalichomekea wewe.. anaenda kufagia uwanja wa shughuli.
Akija uniite.[emoji124] [emoji124]haaaaaaaaaaaaaaaaa
Teh teh teh. Wanawai kusahau sana hawa viumbeMi niliwahi kumfanyia surprise ya Chupi kama mara 3. Nikashangaa siku moja naambiwa, "We Mwanaume gani hujawahi kumnunulia Mpenzi wako Hata Chupi! ".
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mi niliwahi kumfanyia surprise ya Chupi kama mara 3. Nikashangaa siku moja naambiwa, "We Mwanaume gani hujawahi kumnunulia Mpenzi wako Hata Chupi! ".
Unavaa namba ngapi nikutembelee?Shoes.