Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Nichagulie ambavyo sio heels niko njiani hivyo. Hizo skonkoko baki nazo mwenyewe.HAHA!, nikajua unaniletea, si unajua huwa sitosheki na viatu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nichagulie ambavyo sio heels niko njiani hivyo. Hizo skonkoko baki nazo mwenyewe.HAHA!, nikajua unaniletea, si unajua huwa sitosheki na viatu..
Alikumiss ndio maana.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haki Daby naona kaamua kunifungia mwaka!
Akili gani,kwani kuna mitihani tunafanya humu?[emoji32][emoji32][emoji32].......Mtu kuongea ukweli ndo kuwa na akili??[emoji57][emoji57][emoji57]
Hivyo vitu navimiliki hadi nimekinai nimebakiza ndege tu...ngoja wafungue show room za kigamboni nikupeleke ,anza kwenda driving school
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]We sio tomboy kweli
Mi nilinunua PC lakini badae nikaja kuambiwa "kwanza una nini wewe cha maana unachoweza kunipa mimi" adi leo sirudii tena huo mchezo labda kwa wife tu!!Imewahi kunikuta hii
Kidogo siku hizi naanza kukuelewa... haya fanya unijibu fasta basi.Alikumiss ndio maana.
Sina majibu bwana.Kidogo siku hizi naanza kukuelewa... haya fanya unijibu fasta basi.
Nichagulie ambavyo sio heels niko njiani hivyo. Hizo skonkoko baki nazo mwenyewe.
Mbitiyazavyupiz nzuri pure cotton,gauni kali fupi
Mbitiyaza
Kwa kisukuma tafsiri Yake ?
Ni tomboy vip umeridhikaWe sio tomboy kweli
Siplan kwa ajili ya mchumba. Asante.Km unaplan ya kumnunulia k2 mchumba wako jiaandae na big disappointment, furaha ya wanawake wengi ni ya mda mfupi baadae anasahau na tena hicho k2 ulichomnunulia km ni handbag siku atakwambia hujawahi kuninunulia hata handbag!