Wadada, mnataka dakika ngapi?

Wadada, mnataka dakika ngapi?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Nimekuwa kwenye mahusiano kwa sampuli mbali mbali, iliyopelekea mpaka wengine kutengeneza familia.

Changamoto niliyokutana nayo, wengi hawataki uchukue muda mrefu ukitafuta goli, wanataka dakika zisizidi 20; hii imepelekea, wao wakirizika wanakuwa hawatoi ushirikiano kwenye kunesa nesa :AlizeePLS:, na hii upelekea kupoteza hisia na kutofika hitimiso.

Hivi karibuni nilipata goma, mwenye mvuto hatari; tumepiga naye shoo mfululizo kwa siku nne, naye malalamiko yake ni yale yale; nampigia simu aje, anasema anaumwa kiuno, mara analalamika ya kuwa, natumia muda mrefu sana kumaliza.

Sasa wakuu, wadada wanataka tutumie dakika ngapi bila kuwachosha?​
 
We utakuwa umepiga malaya, malaya hana hisia na mtu maana feeling ndo hufanya mwanamke aenjoy mziki na utapiga shoo mwenyewe ndo ukimbie, ila malaya anataka dakika tano uwe ushamaliza umempa chake asepe zake
 
Nimekuwa kwenye mahusiano kwa sampuli mbali mbali, iliyopelekea mpaka wengine kutengeneza familia...​
Kuna shemeji yenu mmoja yupo tabora.

Nikienda akiniona anaanza kulalama

'' Aya aya hako kaarabu kafupi kafupi kanakuja.

haka kaarabu nikikaona karoho kananipiga paaah.

kakapanda hakashuki hako."
 
giphy (1).gif
 
Changamoto niliyokutana nayo, wengi hawataki uchukue muda mrefu ukitafuta goli, wanataka dakika zisizidi 20; hii imepelekea, wao wakirizika wanakuwa hawatoi ushirikiano kwenye kunesa nesa :AlizeePLS:, na hii upelekea kupoteza hisia na kutofika hitimiso.

Hawakupendi..

Mwanamke anayekupenda na mnajua mnapendana.. raha sana ya Dunia nyingine.. hata masaa mtapata raha hadi mchoke pamoja na kupumzika kabla ya me fine kuendelea na kuendelea eeeeh Kula hakupiti na kulala inavyobidi..

Mapenzi matamu na ya kweli yanatoka kwenye moyo ya wawili kwa pamoja..

Usisahau wanawake wenye malengo na mwanaume.. acting yao ni kiwango hamuwezi kuwanasa.. 💰💰💰
 
We utakuwa umepiga malaya, malaya hana hisia na mtu maana feeling ndo hufanya mwanamke aenjoy mziki na utapiga shoo mwenyewe ndo ukimbie, ila malaya anataka dakika tano uwe ushamaliza umempa chake asepe zake
Ni watu wa ibada sana na wanataka mahusiano ya muda mrefu
 
Hawakupendi..

Mwanamke anayekupenda na mnajua mnapendana.. raha sana ya Dunia nyingine.. hata masaa mtapata raha hadi mchoke pamoja na kupumzika kabla ya me fine kuendelea na kuendelea eeeeh Kula hakupiti na kulala inavyobidi..

Mapenzi matamu na ya kweli yanatoka kwenye moyo ya wawili kwa pamoja..

Usisahau wanawake wenye malengo na mwanaume.. acting yao ni kiwango hamuwezi kuwanasa.. 💰💰💰
Tatizo hawataki kuniacha, ila kwenye shoo wao wakishamaliza wanataka nami nimalize haraka, kitu ambacho ni tofauti.
 
Kuna shemeji yenu mmoja yupo tabora.
Nikienda akiniona anaanza kulalama

'' Aya aya hako kaarabu kafupi kafupi kanakuja.
haka kaarabu nikikaona karoho kananipiga paaah.
kakapanda hakashuki hako."
Sasa inabidi wawe wawazi, wanataka dakika ngapi?
 
Back
Top Bottom