uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
. Wengi, ila moja ya sifa ya kuyawezea mapenzi ni pesa.Wangapi wanapesa nabado mapenzi yana washinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
. Wengi, ila moja ya sifa ya kuyawezea mapenzi ni pesa.Wangapi wanapesa nabado mapenzi yana washinda
Mbwembwe muhimu kwenye mahusianoUkimwelekeza demu wako inatosha
Labda ulikuwa hutikisi vizuriNiliyafanya yote hayo na tuliachana 😂
Labda ulikuwa hutikisivi
Hahahahaha 😂 nlkuwa natikisika mpaka unyayoLabda ulikuwa hutikisi vizuri
NionyesheHahahahaha 😂 nlkuwa natikisika mpaka unyayo
😂 😂Nionyeshe
Hapo kwenye kumgonga na makalio si ndo mpaka awe nayo[emoji1787]
Ili tukupe maksi
SawaIli tukupe maksi
Hata kama Hana anasuguaHapo kwenye kumgonga na makalio si ndo mpaka awe nayo🤣
Absolutely correctBila hela hayo yote ni kazi bure tu,hawa viumbe hawatabiriki wala kuaminika,
Unaweza kumnunulia Gari la gharama ila akaja kuliwa na mtu aliyemsaidia kubadili tairi lenye pancha njiani.
Labda ulikuwa huna trako ama madoido ya kike kuachwa kuna fakta nyingiNiliyafanya yote hayo na tuliachana 😂
Hahahaha hahahaha 😂 hayana kanuni kumbukaLabda ulikuwa huna trako ama madoido ya kike kuachwa kuna fakta nyingi
Vijana mnajua kudeka sana.Kwa hiyo siku hizi hakuna tena ile kitu inaitwa "chagulaga" kwenye ngoma ya mbina?Au ile ya "rara nikurenge"?Ukifika kwa mpenzi wako wa kiume, jitahidi kuwa mbunifu,mfano:-
Kufanya hivyo, kunamfanya mwanaume awe zuzu na awe anakuwaza wewe muda wote.
- Kutembea kwa mwendo wa maringo
- Kuzunguka zunguka ndani ya nyumba kwa mwendo wa maringo
- kujifanya umedondosha vitu na kuinama kuviokota
- Kuvaa vazi la kanga na kufanya fanya usafi, kupika, kumtengenezea mpenzi wako juisi n.k
- Kumzuga mpenzi wako kuna sehemu ya mwili panawasha ili akukune
- Kuchezea chezea ndevu za mpenzi wako huku ukiwa umeinama
- Kumgonga kwa makusudi na makalio pale atakapokuwa amekaa au kusimama
- Kutumia lugha laini, kama leo unataka kwenye mechi wewe uwe mshindi n.k
Umri unavyosogea mwili unakuwa unaongozwa kwa hisia, ile ya kuacha goli wazi ulenge tu, mzee anaweza asisimame.Vijana mnajua kudeka sana.Kwa hiyo siku hizi hakuna tena ile kitu inaitwa "chagulaga" kwenye ngoma ya mbina?Au ile ya "rara nikurenge"?
Okay! Kwamba upashaji misuli ni muhimu!Umri unavyosogea mwili unakuwa unaongozwa kwa hisia, ile ya kuacha goli wazi ulenge tu, mzee anaweza asisimame.
Jambo la muhimu uelewe mmeo anataka nini au anavutiwa na niniUnaweza kuyafanya yote na bado akakupiga chini akavuta chombo ngumu habari haina.
Mwanaume akiamua kukuweka kwenye akili yake basi atafanya kila liwezekalo uwe vile anavyotaka(kama haupo vile atakavyo)
NAKAZIAMkuu umesahau jambo moja mhimu sana,pia wajitahidi kubeba pesa ya nauli ya kuja na kurudi makwao,sio kila unapomtembelea mpenzi wako iwe kama sheria kuwa lazima upewe pesa,
Kifupi punguzeni vizinga ila wanaume tuwape hadhi na kuwapandisha madaraja hadi kufikia ndoa