Wadada mnavyowatembelea wapenzi wenu wa kiume, muwe wabunifu

Wadada mnavyowatembelea wapenzi wenu wa kiume, muwe wabunifu

Akifika aache manjonjo yooote hayo uliyoandika anapitiliza kuoga anakuja rum tunamalizana anaendelea na manjonjo ya usafi na mapishi.

Kama anakuja mara kwa mara afuate ushauri wako, ila kama anakuja mara1 kwa wiki2, apitilize chumbani na aache story nyingi[emoji41][emoji41]
Hahaha.
 
Ukifika kwa mpenzi wako wa kiume, jitahidi kuwa mbunifu,mfano:-
  • Kutembea kwa mwendo wa maringo
  • Kuzunguka zunguka ndani ya nyumba kwa mwendo wa maringo
  • kujifanya umedondosha vitu na kuinama kuviokota
  • Kuvaa vazi la kanga na kufanya fanya usafi, kupika, kumtengenezea mpenzi wako juisi n.k
  • Kumzuga mpenzi wako kuna sehemu ya mwili panawasha ili akukune
  • Kuchezea chezea ndevu za mpenzi wako huku ukiwa umeinama
  • Kumgonga kwa makusudi na makalio pale atakapokuwa amekaa au kusimama
  • Kutumia lugha laini, kama leo unataka kwenye mechi wewe uwe mshindi n.k
Kufanya hivyo, kunamfanya mwanaume awe zuzu na awe anakuwaza wewe muda wote.
Ila mzee baba unapenda mambo mengi sana.
Mimi navutiwa na msichana asiye na mambo mengi bali asiwe mchafu.
Akiwa anapenda viutani basi kwangu amefika na yuko mikono salama sana.
Hizo mbwembwe zaidi wafanye malaya.
 
Back
Top Bottom