Wadada Mnawaza sex tu...

Wadada Mnawaza sex tu...

Ilikua suggestion tu.. Ulikua na chaguo LA kukataa au kukubali.
Kama nilikuudhi ungeniambia etiii..
Kumbe ndoo maana uka crash eeh..
Ulinionea tu mpenzi.
Niliona hata baada ya kureject bado haitapendeza maana mawazo yako yalishakuwa nchi nyingine. Hivyo pengine ingewezekana lakini usingepafurahia maana haikuwa chaguo lako la kwanza.
Na nia yangu ilikuwa both tuwe happy.
 
Niliona hata baada ya kureject bado haitapendeza maana mawazo yako yalishakuwa nchi nyingine. Hivyo pengine ingewezekana lakini usingepafurahia maana haikuwa chaguo lako la kwanza.
Na nia yangu ilikuwa both tuwe happy.
Kama ni hivyo ulinionea dear. Haikua chaguo LA kwanza hafu, lengo lilikua to have a funny n happy together. But nisamehe tu wangu tufanye siku nyingnie
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Sema kumtoa toka kwenye sofa au kiti Kumpeleka chumbani hapo tu ndo pagumuu..kwingne unatelezaa tuu
Kwann unahangaika kumpeleka chumbani wakati sofa linatosha kabisaaaaaa,baada ya kupumua round zako mbili ndo unaweza kuwaza kumpeleka room bila pingamizi lolte kutoka kwake.
 
Back
Top Bottom