Wadada na birthday party

Wadada na birthday party

Sasa hivii wasichana wengii wameamka kwenye maswala ya viparty vya siku ya kuzaliwa yaanii mwanaume kama una mahusiano na wasichana zaidi ya mmoja ujue utachangia wotee au ukiwa na urafiki nao itakuhusu tuu michango shida sio hiyo party shida ni kuchangiana hatupumui aiseee au wadau mnalionajee hiliii??? ishakuwa kero
Nawasilisha
Birthday zimekuwa ndo chanzo cha kutafutia pesa kuna birthday Siku za karibuni nimehudhuria mdada kaanda birthday party akatuomba wadau tukutane pub flani ivi ikoo Magomeni Kitu kilichonishangaza

Swala la vinywaji kila mtu anajitegemea yeye mdada alikuja na cake tuu sasa baada ya hayo yote kimbembe kilikuja wakati wa kutoa zawadi Mc anatangaza kila anaekuja kutoa zawadi basi adondoshe elfu 10 au 5 kwenye boxi la zawadi hapo ilibidi nisepe kimya kimya huku najifanya naongea na simu pembeni nikarudi badae sana mambo ya zawadi yameisha ila boxi la zawadi lilikuwa limejaa wekundu
 
kuna mademu wanaenda party hawana nauli. kwa wazee wa kuokota tunachagua moja iliyonona tunapakia kwenye gari
Hao mademu nawaona sana na wengine naishi nao karibu. Tips na Kidimbwi hawaendi na nauli tena wanakumbushana "vaeni gauni fupi tight" alafu wana hela ya Bolt ya kwendea tu. Kula, kunywa na kurudi juu ya yeyote atakayewaita uko
 
Tapeli mmoja wa kiarabu aliyezaliwa magomeni.sasa hivi yupo chuo udsm.alikuwa anapenda hela balaa
Kuna mwanamke aliniomba 50 nilikuwa naye tunapga lunch pamoja.

Nkamwambia sina ila chukua 30 hii itakusaida.
Aisee hakusema asante wala nini kaacha mezani nkawa namshangaa.

Nkamwambia I will show you.

Nikamwita muhudumu nkamuuliza una mtoto na yupo la ngapi?

Muhudumu qkasema ninaye yupo la 4.
Nkamwambia chukua hii 30 mchango wa uniform, muhudumu akasema Mungu akubariki baba. Nkasema amen
nkanyanyuka na kusepa. Naitwa beib beib I was joking.
 
Birthday zimekuwa ndo chanzo cha kutafutia pesa kuna birthday Siku za karibuni nimehudhuria mdada kaanda birthday party akatuomba wadau tukutane pub flani ivi ikoo Magomeni Kitu kilichonishangaza

Swala la vinywaji kila mtu anajitegemea yeye mdada alikuja na cake tuu sasa baada ya hayo yote kimbembe kilikuja wakati wa kutoa zawadi Mc anatangaza kila anaekuja kutoa zawadi basi adondoshe elfu 10 au 5 kwenye boxi la zawadi hapo ilibidi nisepe kimya kimya huku najifanya naongea na simu pembeni nikarudi badae sana mambo ya zawadi yameisha ila boxi la zawadi lilikuwa limejaa wekundu
Demu akikuita pub sana sana unaenda kutumia hela zako juu yako na juu yake. Hapo kila aliyeitwa kaitwa dear, love, mchumba, mpenzi, etc ila mkifika eneo la tukio mnaitwa 'marafiki zangu'. Huo mtego usirudie unless uwe unataka kutoa hela
 
Demu akikuita pub sana sana unaenda kutumia hela zako juu yako na juu yake. Hapo kila aliyeitwa kaitwa dear, love, mchumba, mpenzi, etc ila mkifika eneo la tukio mnaitwa 'marafiki zangu'. Huo mtego usirudie unless uwe unataka kutoa hela
Unabembelezwa ukishatoa unabakia kuwa mpenzi mtazamajii
 
Birthday zimekuwa ndo chanzo cha kutafutia pesa kuna birthday Siku za karibuni nimehudhuria mdada kaanda birthday party akatuomba wadau tukutane pub flani ivi ikoo Magomeni Kitu kilichonishangaza

Swala la vinywaji kila mtu anajitegemea yeye mdada alikuja na cake tuu sasa baada ya hayo yote kimbembe kilikuja wakati wa kutoa zawadi Mc anatangaza kila anaekuja kutoa zawadi basi adondoshe elfu 10 au 5 kwenye boxi la zawadi hapo ilibidi nisepe kimya kimya huku najifanya naongea na simu pembeni nikarudi badae sana mambo ya zawadi yameisha ila boxi la zawadi lilikuwa limejaa wekundu
Juzii nimetumiwa screenshot kachangiwa hela kazitandaza kitandanii mwenyewe kwelii hii ni aina ya ukusanyajii wa mapato serikali ichukue kodi
 
Sasa hivii wasichana wengii wameamka kwenye maswala ya viparty vya siku ya kuzaliwa yaanii mwanaume kama una mahusiano na wasichana zaidi ya mmoja ujue utachangia wotee au ukiwa na urafiki nao itakuhusu tuu michango shida sio hiyo party shida ni kuchangiana hatupumui aiseee au wadau mnalionajee hiliii??? ishakuwa kero
Nawasilisha
Pole kwa yanayokukuta, vumilia ulimpenda mwenyewe
 
Pigeni chini hao mandez wa kutaka birhday za show off.
Mimi birthday ya mpnz wangu ni bora ifanyike nyumbani ikishakuwa bar au Pub hayo yanakuwa maonesho.
 
Hao mademu nawaona sana na wengine naishi nao karibu. Tips na Kidimbwi hawaendi na nauli tena wanakumbushana "vaeni gauni fupi tight" alafu wana hela ya Bolt ya kwendea tu. Kula, kunywa na kurudi juu ya yeyote atakayewaita uko
Hahaha dah..

Hao watoto hawana tofauti na wanaojilipua Kwa kujifunga mabomu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtoto mmoja mpuuzi sana.yaani ndani ya mwaka mmoja alikuwa na birthday 2.
Ya kwanza kaniomba nikampa baada ya miezi kadhaa keshasahau ananipigia simu Tena wiki ijayo birthday yangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom