cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Atakuwa mlokole. Birthday ya kuzaliwa kimwili na kiroho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Atakuwa mlokole. Birthday ya kuzaliwa kimwili na kiroho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mwanamke aliniomba 50 nilikuwa naye tunapga lunch pamoja.
Nkamwambia sina ila chukua 30 hii itakusaida.
Aisee hakusema asante wala nini kaacha mezani nkawa namshangaa.
Nkamwambia I will show you.
Nikamwita muhudumu nkamuuliza una mtoto na yupo la ngapi?
Muhudumu qkasema ninaye yupo la 4.
Nkamwambia chukua hii 30 mchango wa uniform, muhudumu akasema Mungu akubariki baba. Nkasema amen
nkanyanyuka na kusepa. Naitwa beib beib I was joking.
Wanazingua saanaAkili za hawa dada wa mjini wanazijua wenyewe. Kuna dada alikuja kunitembelea na jamaa yake akawa anasema oooh shem nina party yangu ya kuzaliwa sijui anafanyie ukumbi gani wala sikutaka kumpa matumaini nikamwambia hata harusi sichangii sembuse upuuzi. Huku Dodoma kuna wadada fulani wanajiita sijui ujinga gani. Utasikia team February bado project ya March. Bora pesa nikawape mayatima na watu masikini kuliko hawa wadada wasio jitambua.
Kwann hukwenda nae
teh teh! birthday ya kurud saa 9 alfajiri, inashangazaHakuniaga mie
Kaja nambia usiku yupo kwenye birthday karejea saa tisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
teh teh! birthday ya kurud saa 9 alfajiri, inashangaza
Ukiona mdada anasherehekea birthday ujue kapata danga jipya, madada siku hizi hawana tarehe maalum ya kuzsliwa [emoji23][emoji23]Sasa hivii wasichana wengii wameamka kwenye maswala ya viparty vya siku ya kuzaliwa yaanii mwanaume kama una mahusiano na wasichana zaidi ya mmoja ujue utachangia wote.
Ukiwa na urafiki nao itakuhusu tuu michango shida sio hiyo party shida ni kuchangiana hatupumui aiseee.
Au wadau mnalionajee hiliii??? Ishakuwa kero.
Nawasilisha.
Hadi aibu yani, akajitia kuzira,, hivi wanawake wengine wakoje,, mnawatolea wapi😥😥ulifanya poa kumpa huyo muhudumu, barikiwa piaKuna mwanamke aliniomba 50 nilikuwa naye tunapga lunch pamoja.
Nkamwambia sina ila chukua 30 hii itakusaida.
Aisee hakusema asante wala nini kaacha mezani nkawa namshangaa.
Nkamwambia I will show you.
Nikamwita muhudumu nkamuuliza una mtoto na yupo la ngapi?
Muhudumu qkasema ninaye yupo la 4.
Nkamwambia chukua hii 30 mchango wa uniform, muhudumu akasema Mungu akubariki baba. Nkasema amen
nkanyanyuka na kusepa. Naitwa beib beib I was joking.
Amen. Noo nahisi wanataka maigizo ya tamthiliaHadi aibu yani, akajitia kuzira,, hivi wanawake wengine wakoje,, mnawatolea wapi[emoji26][emoji26]ulifanya poa kumpa huyo muhudumu, barikiwa pia
Vichwa vyao ni empty setAmen. Noo nahisi wanataka maigizo ya tamthilia
Napitia pitia mambo ya ubahiliDemu akikuita pub sana sana unaenda kutumia hela zako juu yako na juu yake. Hapo kila aliyeitwa kaitwa dear, love, mchumba, mpenzi, etc ila mkifika eneo la tukio mnaitwa 'marafiki zangu'. Huo mtego usirudie unless uwe unataka kutoa hela
Duu, watu wana hela za mchezoAkili za hawa dada wa mjini wanazijua wenyewe. Kuna dada alikuja kunitembelea na jamaa yake akawa anasema oooh shem nina party yangu ya kuzaliwa sijui anafanyie ukumbi gani wala sikutaka kumpa matumaini nikamwambia hata harusi sichangii sembuse upuuzi. Huku Dodoma kuna wadada fulani wanajiita sijui ujinga gani. Utasikia team February bado project ya March. Bora pesa nikawape mayatima na watu masikini kuliko hawa wadada wasio jitambua.