Wadada na wataalamu wa Mimba nisaidieni hapa


Yan Mimi cwez kukushauri. We unataka umharibie mwenzio future yake.
Ushndwe
 
Kama lengo lako apate mimba wasi wasi wako nini sasa. Subiri matokeo. Kwa maelezo yako tu unaonesha unawasi wasi asije pata mimba.
 
Since we are talking technicalities, mmeshamuona mtaalamu ili kufahamu kama mna uwezo wa kupata mtoto bila matatizo yoyote?
 
.huo uhakika aupo huo.
mlete kwangu kwanza ndo uendelee nae
 
Hahaha presha inapanda presha inashuka hahaha
 

kwa hiyo mkuu we unaonjaonja bila kuwa na uhakika...
hapo mimba hamna.... so akikwambia baby nasikia kichefuchefu....weka alama ya kiulizo
 
Yan Mimi cwez kukushauri. We unataka umharibie mwenzio future yake.
Ushndwe

What if hiyo mimba ndio a blessing na ikamfungulia huyo mdada mafanikio mbeleni?

Kwanini mnaona mimba kama laana?
 
Yeye mwenyewe anajua unataka kummimba?

Vimimmbisho vipo vina nguvu ya kummimbisha????

Huyo binti unemuoa au unataka kummimbisha tu?

Hakuna mimba hapo


Na mabinti, mkome kuwatajia wanaume zenu tarehe zenu bila kujua malengo yao halisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…