Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Aliyonipa haitoshi dear 😁Nyie ndio mna matatizo ya akili mnaamini kuiba hela ya mwanaume ni ujanja. Hujui mwenzio kaisotea vipi hadi kaipata kaona ajipongeze kidogo na wewe akupe bata muonjoi kidogo kumbe wewe jambazi tu unawaza kuiiba hiyo hela yake aliyoipata kwa tabu. Kwani akikupa kidogo kuna shida gani yani unaamua umsachi umuachie maumivu.
Wazoefu tunao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku nyingine weka kiasi cha pesa cha matumizi yako kwenye budget,kama ni 300,000 per day basi inatosha na sio kutembea na burungutu la pesa kama uko mnadani kuchagua kitoweo
Pili,hakikisha unalala Hotel yenye hadhi,kiasi cha kwamba hawezi toka ndani,hadi pale reception wawasiliane na wewe,je wamuruhusu aende zake?? Na hapo ndiyo utajua kabisa huyu kaiba,kwa nini kaondoka bila kuniaga??
Tatu,ukiona umelewa sana na una pesa ndefu,ingia chumbani tafuta sehemu ficha hizo pesa,weka kidogo tu kama 20,000 hivi mfukoni,maana mkiingia room,lazima demu ataenda chooni,ficha hizo pesa popote pale unapoona hawezi kuona!
Nne,unaweza pia vuta kitanda hadi kwenye mlango,kitanda kizibe mlango kiasi cha kwamba hawezi kuvuta kile kitanda utasikia tu au hawezi kua na nguvu zakuvuta kitanda,na hii kama umelala kwenye Guest hizi za kajamba nani
Huyo sio dada tena, huyo ni mwamba...,
Msalimie sana
Losa ghwanguAmfundile
Akae kwa kutulia tu.Angasenyendekagha ummbiliNaloli
MjubahHuyo sio dada tena, huyo ni mwamba...,
Msalimie sana
Hao madem wana laana na wezi aisee😂Mtoa mada,nilisahau kingine! Funga mlango wako wa room,ficha ufunguo popote pale unapojua wewe! Lakini kama ni funguo hizi za card,bado pale reception,lazima watamzuia kutoka hadi wakuulize kwanza!
Niliwahi pata aibu ya mwaka,nimekuja dsm kwa mara ya kwanza,nikalala pale Ubungo,usiku nikabeba changu moja la bar pale Ubungo mataa kama unaenda tanesco kulikuaga na baa upande wakushoto! Demu alinikomba mpunga wangu wote uliokua kwenye wallet, 40,000 miaka ya 2004 ilikua pesa ndefu sana!
Toka siku hiyo nilishajifunza,hawa wadudu hawawezi niibia,kwanza naweza kujifanya nimelewa,nalala zangu,nakoroma kabisa,kumbe namusoma!
Ingumpala ujo ndindwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Losa ghwangu
Abhombile inunu fijo.Papo abhanyambala bhimi fijo amasiku agha.Ni sadaka bhatikusosya loli akalaja bhakamenye nkulipia endalamaIngumpala ujo ndindwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bhimi naloli,bhakafu [emoji1787]Abhombile inunu fijo.Papo abhanyambala bhimi fijo amasiku agha.Ni sadaka bhatikusosya loli akalaja bhakamenye nkulipia endalama
Sasa huu mjadala ushakuwa wa kikabiraBhimi naloli,bhakafu [emoji1787]
Inguntufya ndindwana ali na mahala[emoji38]
Loli tibhakete,Tukubhuka ni wallet syabho nu tuhela twosa.
Tukwinoma mweeeeSasa huu mjadala ushakuwa wa kikabira
Uti bhalumanye!!!!Bhimi naloli,bhakafu [emoji1787]
Inguntufya ndindwana ali na mahala[emoji38]
Loli tibhakete,Tukubhuka ni wallet syabho nu tuhela twosa.
Tuvumilie kaka,ni sisi wawili tu katika mia.Tena hatuna sumu tunaongeza comments tu kwa mtoa mada.Kuna muda tunaongea lugha kukumbuka kwetu kidogoSasa huu mjadala ushakuwa wa kikabira
Aaaaaa wapi huu ni ukabila haiwezekani kabisa mod ondoa hawa wanatutukana[emoji23][emoji23]Tuvumilie kaka,ni sisi wawili tu katika mia.Tena hatuna sumu tunaongeza comments tu kwa mtoa mada.Kuna muda tunaongea lugha kukumbuka kwetu kidogo