Wadada na wizi ni pete na kidole?

Wadada na wizi ni pete na kidole?

Uti bhalumanye!!!!
Abalumyana bha masiku aga kali wafundigwe bhuleghe,, Bhati bikumpeleli ikisa(kitima) mundu mwimi[emoji38][emoji38]

Une nguti ndaga ndindwana ubombile imbombo nunu
 
Tuvumilie kaka,ni sisi wawili tu katika mia.Tena hatuna sumu tunaongeza comments tu kwa mtoa mada.Kuna muda tunaongea lugha kukumbuka kwetu kidogo
Mimi najifunzia lugha hapa[emoji38]
Watuvumilie..
 
Abalumyana bha masiku aga kali wafundigwe bhuleghe,, Bhati bikumpeleli ikisa(kitima) mundu mwimi[emoji38][emoji38]

Une nguti ndaga ndindwana ubombile imbombo nunu
Kangi bhimi bhakanisoni.Indalama syene linga bhafwile bhikusileka sikujabhanika itolo.Bhikulya abhangi abha bhakabhombela ifuku nalimo.Uswe twe tukubhafulila ni mwenda bhikutwima bhati tulibhasumi fijo....po uti bhalile fijo tutukuleka pakukwapula ifipochi.(loli ngabhaghila nennino pakumwibhila unnyambala,tukukoma isoga itolo apa)
 
Kangi bhimi bhakanisoni.Indalama syene linga bhafwile bhikusileka sikujabhanika itolo.Bhikulya abhangi abha bhakabhombela ifuku nalimo.Uswe twe tukubhafulila ni mwenda bhikutwima bhati tulibhasumi fijo....po uti bhalile fijo tutukuleka pakukwapula ifipochi.(loli ngabhaghila nennino pakumwibhila unnyambala,tukukoma isoga itolo apa)
Nalinga bhaka nihela,bhasosye Nandi sisisyo..
Kangi bikukhana ,mma abhalisya Abha bhikuhobosya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Siku nyingine weka kiasi cha pesa cha matumizi yako kwenye budget,kama ni 300,000 per day basi inatosha na sio kutembea na burungutu la pesa kama uko mnadani kuchagua kitoweo

Pili,hakikisha unalala Hotel yenye hadhi,kiasi cha kwamba hawezi toka ndani,hadi pale reception wawasiliane na wewe,je wamuruhusu aende zake?? Na hapo ndiyo utajua kabisa huyu kaiba,kwa nini kaondoka bila kuniaga??

Tatu,ukiona umelewa sana na una pesa ndefu,ingia chumbani tafuta sehemu ficha hizo pesa,weka kidogo tu kama 20,000 hivi mfukoni,maana mkiingia room,lazima demu ataenda chooni,ficha hizo pesa popote pale unapoona hawezi kuona!

Nne,unaweza pia vuta kitanda hadi kwenye mlango,kitanda kizibe mlango kiasi cha kwamba hawezi kuvuta kile kitanda utasikia tu au hawezi kua na nguvu zakuvuta kitanda,na hii kama umelala kwenye Guest hizi za kajamba nani
siku hizi wanajengea vitanda😂😂😂
 
Back
Top Bottom