Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Hahahaah mkuu nimeamua utaona tu pm zangu zinakuwa nyingiWakisikia harufu ya hela huwa masikio yanawasimama kama paka mwizi.
Kwa kufukua makaburi hamjambo hahabNgoja niisevu hii sredi nipate gia ya kukusimangia somewhere along the line.π€£π€£π€£βΊοΈ
Haaaaahaa, blaza huitaji bodyguard nije?Wanasemaga kuishi ni Mara moja tu.
Sasa why nijinyime?
Nimeuza kiwanja cha urithi cha baba ila bado Niko kwetu ,tutabanana hapo apo kwetu tu..
Hii pesa myzangu mje mnidange xmass kesho kutwa ...
MTU unapata ela unaenda kununua mabati yakikukata je?
Kula bia wewe
Nb fanyeni chap Niko bar tangu asubuhi nachukua naweka waah
We subiri.Kwa kufukua makaburi hamjambo hahab
Bora umenikumbusha mkuu..Haaaaahaa, blaza huitaji bodyguard nije?
Ukilewa kabisa watakuja kina dada kukudanga, wakisha beba wallet, wanakuacha kina kaka wakushughulikieWanasemaga kuishi ni Mara moja tu.
Sasa why nijinyime?
Nimeuza kiwanja cha urithi cha baba ila bado Niko kwetu ,tutabanana hapo apo kwetu tu..
Hii pesa myzangu mje mnidange xmass kesho kutwa ...
MTU unapata ela unaenda kununua mabati yakikukata je?
Kula bia wewe
Nb fanyeni chap Niko bar tangu asubuhi nachukua naweka waah
Mimi sijali kwanza hapa kwetu sihami yeye baba ndo ahame aende kwao mi hapa ndo kwetu kakandio maana wazee hugeuka mizimu maana mtu kuchezea jasho lako unaweza kujihisi vinyweleo vikisisimka kwa hasira kaburini
Nimepata baunsa mkuu huyu hapa Basima Ogenze hasogei hata nziUkilewa kabisa watakuja kina dada kukudanga, wakisha beba wallet, wanakuacha kina kaka wakushughulikie
Mimi sijali kwanza hapa kwetu sihami yeye baba ndo ahame aende kwao mi hapa ndo kwetu kaka
Unaweza tamani ukafate kaliko kachezee nakos kwa hasiraπ€£π€£π€£ππππππ
kwamba kila mtu arudi kwao, sawa bhana enjoy life tu kaka
anaweza kula nakos halafu kesho yake akakutangazia umefariki ili akusanye rambirambi, sijui utafanyaje πUnaweza tamani ukafate kaliko kachezee nakos kwa hasiraπ€£π€£π€£
Tujifanye chawa tu tukamdangie.anaweza kula nakos halafu kesho yake akakutangazia umefariki ili akusanye rambirambi, sijui utafanyaje π
hapo umenena miss πππTujifanye chawa tu tukamdangie.
Hebu mcheki. Hajazima tu ππππππππhapo umenena miss πππ