Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Wanasemaga kuishi ni Mara moja tu.
Sasa why nijinyime?
Nimeuza kiwanja cha urithi cha baba ila bado Niko kwetu ,tutabanana hapo apo kwetu tu..
Hii pesa myzangu mje mnidange xmass kesho kutwa ...
MTU unapata ela unaenda kununua mabati yakikukata je?
Kula bia wewe
Nb fanyeni chap Niko bar tangu asubuhi nachukua naweka waah
Sasa why nijinyime?
Nimeuza kiwanja cha urithi cha baba ila bado Niko kwetu ,tutabanana hapo apo kwetu tu..
Hii pesa myzangu mje mnidange xmass kesho kutwa ...
MTU unapata ela unaenda kununua mabati yakikukata je?
Kula bia wewe
Nb fanyeni chap Niko bar tangu asubuhi nachukua naweka waah