Wadada nimeuza kiwanja cha urithi njooni mnidange

Wadada nimeuza kiwanja cha urithi njooni mnidange

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Wanasemaga kuishi ni Mara moja tu.
Sasa why nijinyime?

Nimeuza kiwanja cha urithi cha baba ila bado Niko kwetu ,tutabanana hapo apo kwetu tu..

Hii pesa myzangu mje mnidange xmass kesho kutwa ...
MTU unapata ela unaenda kununua mabati yakikukata je?

Kula bia wewe
Nb fanyeni chap Niko bar tangu asubuhi nachukua naweka waah
 
We ndio mwanaadamu wa kwanza KUOMBA KOLABO NA SHETTANI, na ndio wa kwanza KUJIOMBEA JAKA LA MOYO.

Hao unaowaita wakisikia harufu ya hela huwa masikio yanawasimama kama paka mwizi. Subiri wanakuja sasa hivi.
 
Wanasemaga kuishi ni Mara moja tu.
Sasa why nijinyime?

Nimeuza kiwanja cha urithi cha baba ila bado Niko kwetu ,tutabanana hapo apo kwetu tu..

Hii pesa myzangu mje mnidange xmass kesho kutwa ...
MTU unapata ela unaenda kununua mabati yakikukata je?

Kula bia wewe
Nb fanyeni chap Niko bar tangu asubuhi nachukua naweka waah
Haaaaahaa, blaza huitaji bodyguard nije?
 
Wanasemaga kuishi ni Mara moja tu.
Sasa why nijinyime?

Nimeuza kiwanja cha urithi cha baba ila bado Niko kwetu ,tutabanana hapo apo kwetu tu..

Hii pesa myzangu mje mnidange xmass kesho kutwa ...
MTU unapata ela unaenda kununua mabati yakikukata je?

Kula bia wewe
Nb fanyeni chap Niko bar tangu asubuhi nachukua naweka waah
Ukilewa kabisa watakuja kina dada kukudanga, wakisha beba wallet, wanakuacha kina kaka wakushughulikie
 
Back
Top Bottom