Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Labda hiyo biashara iwe ni ya kwako umeijenga yeye aje kuanza kushika nafasi ya usaidizi chini ya usimamizi wako. Kinyume chake hamna kitu mtafanya.Biashara haina mwenyewe hata mwenyew nishawai haribu pesa hata nae nirahis kuzoea huku ukisimamia mdogo...kama sivyo mtafutie fani mpe mtaji aanze nao