Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
Wewe si unamke wewe na watoto 4 nje ya ndoa .Dunia ya sasa imebadilika, kuanzia kiuchumi mpaka mahusiano.
Watu hawaoi na hawaolewi, wanaona bora kuzaa tu maisha yaendelee; sasa kama wewe unataka uangukie kwenye hilo kundi, endelea kuleta mapozi.
Badilikeni; maisha ya sasa si sawa na zama zile za mawe za kale.
Kwa leo ni hayo tu.
Kazi ya macho ni nini?Wewe si unamke wewe na watoto 4 nje ya ndoa .
Na umezaa na mke wa mtu lkn still.
Unaangaika na uzinzi .
Sham on you.
Stupid questionKazi ya macho ni nini?
halafu pia wengine wamesettle wanawapenzi wao hawataki usumbufuEbu subiri kwanza,kwamfano wewe ni pisi kali halafu kila mwanaume unayekutana naye anaomba namba je utawapa wote?mwanamke kama binadamu wengine naye ana choices zake.
N:b.Sisupport mwanamke kuwa wakali ama kuleta nyodo pindi waombwapo namba.
Shida aliogopa wewe Ni nusu albino😂😂, morning bro🤒Wengine hata utengeneze kibanda bado hawatoi, ni sawa kwao wapo sahihi lakini nyodo sio.
Kuna dada nilikutana nae kwenye daladala tukaongea tukachangamkiana zaidi ya dakika 30 utadhani tulikuwa tunafahamiana. Nilipomuomba namba aliniambia kwa leo hapana nitakupa next time, nikarudia tena na tena jibu likawa lile lile, nilipendezwa nae sana na kuanzia ile siku sijawahi muona. Alinikataa kistaarabu mno adi nikapenda.
Yaani🤣🤣🤣🤣, wata isoma namba.Kwahiyo ukashindwa hata kumwambia kuwa huioni simu yako ili uchukue simu yake ujipigie(kuitafuta)?
Angalizo.
Usipende kushika/kuonyesha simu yako Kwa mdada unaejua kuwa utamuomba number 😀mbinu nyingine ya kivita hii nimekukumbusha
😂😂albino nae mtu.Shida aliogopa wewe Ni nusu albino😂😂, morning bro🤒
Ili utumie mbinu hiyo kumuomba simu yake ujipigie ila kuipata.lengo ni kuepuka makasiriko ya kunyimwa number😂😂sikuwaza plan hiyo kabisa.
Kwanini nisimuoneshe/nisishike?
Naijua Hiyo🤣😂😂😜, weeNamba tu mkuu😁niombe nitakupatia
KumbeHao wenye dharau ndio wazuri, nyodo nyingi halafu mwishoni anajaa kwenye mfumo.
Kwamba unaijua ipi hiyo😀😀Naijua Hiyo🤣😂😂😜, wee
Ndio alafu akishajaa namwambia sasa nyodo zilikuwa zanini?Kumbe
Mjini hapa nani anaetoa simu kwa mtu asiemfahamu kirahisi hivyo?Ili utumie mbinu hiyo kumuomba simu yake ujipigie ila kuipata.lengo ni kuepuka makasiriko ya kunyimwa number😂😂
Nahisi hujaelewa concept yanguMjini hapa nani anaetoa simu kwa mtu asiemfahamu kirahisi hivyo?
Nieleweshe ndio maana halisi ya kuwa great thinkerNahisi hujaelewa concept yangu