Wadada, tukiwa tunawaomba namba za simu au kuwatongoza, msiwe mnatujibu kwa ukali au dharau; utapishana na mume

Ebu subiri kwanza,kwamfano wewe ni pisi kali halafu kila mwanaume unayekutana naye anaomba namba je utawapa wote?mwanamke kama binadamu wengine naye ana choices zake.

N:b.Sisupport mwanamke kuwa wakali ama kuleta nyodo pindi waombwapo namba.
Hapa ndipo tunpofeli wanaume kwanini ujiweke upande wa mwanamke, ushawai kuona wanawake wame imgine kujiweka upande wa wanaume hili kuona changamoto zetu
 
Warembo hawana hizo hawa wenzangu na me wenye sura kama limao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…