Wadada ulizeni maswali Wanaume wawajibu hapa

Ndioooooo wala simamshida na huko mbinguni...duniani hapa pananifaa kabisaa naenjoy na warembo tuu.🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
We mkaka wewe..🙌
 
Sanaaa

Hawa wanaogoma ni wale wasiopaka mafuta. Tako linakuwa limefubaa mpaka wanaona aibu wenyewe ndiyo maana wanakuwa wakali wakishikwa
Depal inaonekana hii kitu ushaifanyia research_ebu tueleze ao walopaka mafuta walikubali kushikwa au ndo nao walizingua..

Japo kiuhalisia tako la mwanaume hata mafuta huwa hayashiki(lazima utakuta sehemu ya tako imekosa mwonekano wa mng'ao kdg...kitu ambacho n obvious
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] oya ww n ntu ya ntwara nn!??npo pande hizi nawaenjoy sana wanavyoongea
Hii kitu n ntu na ntu..

Binafsi,huwa n kabla,wakati na baada ya tendo...

Kuna best things to say before,during and after sex...as unavyojua kunakuwaga na alot of stuffs...
[emoji3][emoji16]
 
Mi naomba kujua mwanamke mtamu ndo yukoje? Na je utamu ni asili, yaani unakuta wala sio mtundu ktk tendo ila tu ni mtamu i mean yyko kawaida tu hana mbwembwe nyingi. Au utundu ndo unafanya awe mtamu.
Mkuu hii kitu inategemeana na umeangukia wap...

Mwanamke anaweza kuwa mtamu na wala sio mtundu,ila K yake ndo kila ukizidi kuigusa...nyege hapa na Chalinze

Vivyo hivyo waweza kuta miuno feni,utamu ndo kwanza unausikilizia Kibaigwa huko...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni wakati upi huwa mnakuwa wakweli kabisa kutoka moyoni kumuambia mwanamke kuwa 'she is sweet'..!!

i; Wakati wa tendo..?
ii; Baada ya tendo..??
iii; Ama ukiwa unahitaji tena tendo.?
Maswali mazuri sana, ngoja nijibu kwa ajili ya nafsi yangu.

Wakati wa maandalizi..........
 
Ni maumivu gani makali ambayo huwa mnayapata na hamtaki kitu kilichosababisha hayo maumivu kirudie?

Tofauti na wanawake, wanazaa kwa uchungu ila utakuta mwanamke anarudia kuzaa watoto hata 4

Kuliwa pesa na demu uliemtongoza, half hujawahi kuila papuchi yake hata Mara moja na hataki kukupa, ni moja ya maumivu tunayokutana nayo sisi wanaume Kasie
 
Nilishawahi mshika mmoja tu na hakuzingua
 
Mi naomba kujua mwanamke mtamu ndo yukoje? Na je utamu ni asili, yaani unakuta wala sio mtundu ktk tendo ila tu ni mtamu i mean yyko kawaida tu hana mbwembwe nyingi. Au utundu ndo unafanya awe mtamu.
Utamu huwa una vitu vinavyo fanya utamu uwepo, namaanisha utundu.
 
Kwanini wanaume mkiulizwa na wanawake "baby hivi kweli wanipenda"? Wengine hukasirika tatizo huwa Nini?
Sababu unaonyesha ni kwa namna gani unashindwa hata kuona picha, japokuwa wewe si mpiga picha, yaani hata picha huoni ?
 
Nashukur nimejibu maswali yote ya wanawake walio uliza humu.

Ngoja nikamalizie "al Qasus" yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…