Wadada ulizeni maswali Wanaume wawajibu hapa

Wadada ulizeni maswali Wanaume wawajibu hapa

Ni wakati upi huwa mnakuwa wakweli kabisa kutoka moyoni kumuambia mwanamke kuwa 'she is sweet'..!!

i; Wakati wa tendo..?
ii; Baada ya tendo..??
iii; Ama ukiwa unahitaji tena tendo.?
Kwa viben 10 huwa Ni kila wakati
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]my ribs[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]my ribs.......
Pole! [emoji85][emoji85]
 
Ni wakati upi huwa mnakuwa wakweli kabisa kutoka moyoni kumuambia mwanamke kuwa 'she is sweet'..!!

i; Wakati wa tendo..?
ii; Baada ya tendo..??
iii; Ama ukiwa unahitaji tena tendo.?
Baada ya tendo inapendeza zaidi. Maana sweetness inaongeza amsha amsha (the more you get, the more you want )
 
[emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751]
Nishajua kuwa kuna mtu alihack profile yako [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Sasa gas na coffee maker kila upande unataka tuwashe nini Baba? Hebu tuache
Samahani mkuu...
Yaani unamaanisha hawa wanawake ambao wakiamka wanawasha data, ama wale wanawake ambao walikua wakiamka wanawasha moto..??
 
Nishajua kuwa kuna mtu alihack profile yako [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
😂😂
Ila aliyenihack Mungu anamuona..amenilisha maneno bado kweupee..watu wanahisi nimeandika Mimi kumbe Kuna mtu kanihack😌
 
We mjaa laana umejuaje me nina laana kama na wewe hujalaaniwa?
Anza kumshika shika baba yako matako kama unaona raha..kwanza wewe utakuwa haujaolewa au kama umeolewa umeachika..au single maza au unajiuza ...hii ni kutokana hii tabia kishetani uliyonayo au kaka zako mashoga.
 
Ni wakati upi huwa mnakuwa wakweli kabisa kutoka moyoni kumuambia mwanamke kuwa 'she is sweet'..!!

i; Wakati wa tendo..?
ii; Baada ya tendo..??
iii; Ama ukiwa unahitaji tena tendo.?
Hua tuna switch tu kulingana na mazingira
 
Back
Top Bottom