Siwezi kuzaliwa mwanamke, hata kwenye mfano haiwezekani.Sawa, let me think outside the box...
Kwa miujiza fulani ungekuwa umezaliwa mwanamke ambae ana super power ya kuona mawazo na mioyo ya wanaume wote unaokutana nao , yaani long term plan zao na wewe, unafikiri ungechagua kuwa lipi:
A) happily married
B) single mama
C) happily single
(Msiongeze D... Kuharibu research)
Feel free kufafanua chaguo lako.
Tag wanaume wenzenu ili tupate sampo nzuri, go! [emoji3581][emoji735]
OkSiwezi kuzaliwa mwanamke, hata kwenye mfano haiwezekani.
Iko hivi nikiwa kama mwanaume ninaeifahamu anatomy yangu vizuri tuna pumbu mbili kwa sababu zifuatazoSawa sababu umeuliza vizuri:
Mimba ikitungwa, kitoto tumbonj genetics zake zinakuwa either XX (female) au XY (male) lakini wote wanakuwa na maungo ya kike ( taarifa yenu wote mnaodharau wanawake, mlikuwa na maungo ya kike once upon a time).
Baada ya wiki kadhaa zile genetics zitaamua kama mtoto atakuwa wa kike au wa kiume. Ikiamuliwa atakuwa wa kiume basi mwili unaanza kutengeneza testosterone na hiyo hormone Ni inafanya viungo vya kike , yaani testes (mapumbu) yenu mawili Ni Sawa na mayai yetu mawili.
Of course Kuna hitilafu inaweza ikatokea ndo maana Kuna wato wako intersex wanazaliwa na muonekano wa jinsia moja huku viungo Ni jinsia nyingine.
Naweza nikaongeza kuwa mapumbu yananing'inia nje ya mwili sababu mbegu zenu zinakufa kwenye hali ya joto. Mwili joto lake la kawaida Ni kama 36 C degrees , joto mno mbegu zenu zingekufa. Ndo maana mnaambiwa msikalishe laptop kwenye mapaja mtaua sperm.
Nafikiri nimeeleweka.
mmmhhh.....aiseee....yaaan sjui ntakufanyaje...unishike nn[emoji35]Kwanini hampendi kushikwa makalio?
1. si sawa kwa mwanaum mwenzangu kunisalmia , (mambo), na hata text ikiingia kutoka namb ngeni, najua kabisa atkuwa mwanamke.Ni sawa kwa mwanaume kumsalimia mwanaume mwenzie mambo? Tena ile mambo ya kuvuta[emoji23]
Unaweza kwenda kukaa kwa girlfriend wako ilihali you have your place?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini hampendi kushikwa makalio?
Kwanini hampendi kushikwa makalio?
Hapo uko sahihi. Nimetumika sana na wanawake wengi kwa ajili ya mbegu quality, naona tu wanangu wakitoka out na walezi.One can argue kuwa wanawake ndo walitakiwa kuwa polygamous pia by nature tuna miaka mifupi ya kuzaa ukilinganisha na mwanamme. Nikibeba mimba Ni moja tu Kwa mwaka lakini wanaume mnaweza mkajaza mimba anytime.
Mwanamke anatakiwa achague quality , my time and eggs are precious. Sasa wewe umeniweka ndani halafu you're not a quality man, huna mbegu nzuri, kwanini nisikutafutie msaidizi? [emoji966]
Kwenye Simple Harmonic Motion. To and froUtamu kolea Tunausikia kwenye kichwa cha Chini mkuu[emoji39]
ni utaratibu tuu kama kunya ukiwa umechuchumaa haimaanishi ukiwa umesimama hayatoki.Mkuu mimi Sijasoma unaweza kunieleza kwa nini samahn lkn mkuu
hapa umeenda OPSawa sababu umeuliza vizuri:
Mimba ikitungwa, kitoto tumbonj genetics zake zinakuwa either XX (female) au XY (male) lakini wote wanakuwa na maungo ya kike ( taarifa yenu wote mnaodharau wanawake, mlikuwa na maungo ya kike once upon a time).
Baada ya wiki kadhaa zile genetics zitaamua kama mtoto atakuwa wa kike au wa kiume. Ikiamuliwa atakuwa wa kiume basi mwili unaanza kutengeneza testosterone na hiyo hormone Ni inafanya viungo vya kike , yaani testes (mapumbu) yenu mawili Ni Sawa na mayai yetu mawili.
Of course Kuna hitilafu inaweza ikatokea ndo maana Kuna wato wako intersex wanazaliwa na muonekano wa jinsia moja huku viungo Ni jinsia nyingine.
Naweza nikaongeza kuwa mapumbu yananing'inia nje ya mwili sababu mbegu zenu zinakufa kwenye hali ya joto. Mwili joto lake la kawaida Ni kama 36 C degrees , joto mno mbegu zenu zingekufa. Ndo maana mnaambiwa msikalishe laptop kwenye mapaja mtaua sperm.
Nafikiri nimeeleweka.
Kujua/ kigundua dem/mke ananyanduliwa na msela/masela.Ni maumivu gani makali ambayo huwa mnayapata na hamtaki kitu kilichosababisha hayo maumivu kirudie?
Tofauti na wanawake, wanazaa kwa uchungu ila utakuta mwanamke anarudia kuzaa watoto hata 4
Dar? Bob mbona hata Dar sipajui 😂Weye dada una laana, itakua ni katika wahuni wa Dar tu, mana ndio tabia zao.
hivi kuna faida gani munayopata kupenda kuwabashia wanaume?
Dar? Bob mbona hata Dar sipajui 😂
Kujua/ kigundua dem/mke ananyanduliwa na msela/masela.
Inaacha maswali kwa elfu ivi.Duuh poleni.
Mama[emoji23][emoji23]Yule alikuwa amepambana na hiiView attachment 1532819