Wadada vaeni chupi zenye mvuto!

Wadada vaeni chupi zenye mvuto!

Kuvaa chupi nzuri ni raha sana... Ata kwenye kale kamchezo unajikegeza tu uvuliwe chupi huku mwanaume anaisifia chupi ilivyo na mvuto!!! [emoji6][emoji6][emoji6]
Raha sana Paprika wangu.... Vaa zinazopendeza na kuvutia. Utawadatisha sana
 
Toa pesa uone kama hata jipenda. Unataka mwanamke akuvalie mavazi mazuri umempa pesa??? Hivi mnajua hizo bidhaa mnazosema zinauzwa tshs ngapi?? Au mmezoea vya kuchinja tu??. Sidiria original full set na chupi yake sio chini ya laki Moja yaani yenye kiwango cha hali ya juu. Sasa jiulize unaweza kuhudumia???
....mwingine huyu!
 
Binti anayejitambua mara zote akiwa anaenda kwenye tendo hujiswafi kuanzia mwili, kinywa, mavazi, chupi, maumbile ya ndani. Yani hata kumlamba unyayo huoni shida. Asiyejitambua ndio huyo anakuja na mavitu ya ovyo ovyo

Vladimir Lenin aliwahi kusema "Show me your friends and I will tell you what you are".

Pia nahisi mabinti hua wanaangalia nani wanaenda kumpa game, kama ni mtu wa maana basi atafanya kujiswafi ipasavyo, lkn kama ni mtu wa hapa na pale basi atakuletea ikiwa kama kiporo.
Tatizo hawawezi kujua kama wanakwenda kuliwa siku hizi....huwa inatokea tu accidentally
 
Habari,

Binafsi ni muuminini wa usafi na muonekano bomba iwe nje na hasa ndani.
Kuna katabia ka mabinti kuvaa michupi mibaya huku inaonekana kama madekio. Utakuta mdada mrembo haswaa, ila akikuruhusu kuona chupi yake, daaah! Mpaka mtu unatamani kutoka nduki.


me nakushauri,acha kuangalia chupi zao,waka usiruhusu wakuoneshe,utaishi kwa amani
 
Hahaaaaaa huyo aliyevaa taiti mbili ndo kanichekesha......za nini sasa?? Au aliambiwa qu..er inatata kutoroka???
 
Back
Top Bottom