Wadada vaeni chupi zenye mvuto!

Wadada vaeni chupi zenye mvuto!

Toa pesa uone kama hata jipenda. Unataka mwanamke akuvalie mavazi mazuri umempa pesa??? Hivi mnajua hizo bidhaa mnazosema zinauzwa tshs ngapi?? Au mmezoea vya kuchinja tu??. Sidiria original full set na chupi yake sio chini ya laki Moja yaani yenye kiwango cha hali ya juu. Sasa jiulize unaweza kuhudumia???
We ni janga yaani hadi leo unategemea mwanaume akununulie chupi we unamnunulia?
 
Haya tumesikia tunajitahidi kununua chupi za 5000 ila mtupe ushirikiano[emoji26][emoji26][emoji26].
peke etu hatuwezi


ila tunayataka, tungekua tunatulia na waume zetu au wanaume wetu walioyazoea ,tatizo kuruka ruka kunasababisha tunakuja kuchambuliwa humu..
sio kila mwanaume wa kumwonyesha pindo la chupi zetu, wengine wako katika research[emoji26]
 
Haya tumesikia tunajitahidi kununua chupi za 5000 ila mtupe ushirikiano[emoji26][emoji26][emoji26].
peke etu hatuwezi


ila tunayataka, tungekua tunatulia na waume zetu au wanaume wetu walioyazoea ,tatizo kuruka ruka kunasababisha tunakuja kuchambuliwa humu..
sio kila mwanaume wa kumwonyesha pindo la chupi zetu, wengine wako katika research[emoji26]
Nimekuelewa Princess, ushirikiano muhimu, ila unamkuta mtu unampa 50,000 akanunue vijichupi anaishia kuzivuruga kwa makitu ya hovyo
 
Haya mambo ni ya kweli kabisa manake mi mwenyewe niliyashuhudia siku moja nilipoenda kuchepuka , hadi leo hii sina tena hamu na yule mama kwa sababu ya chupi yake . yaani rangi ya ajabu alafu imejikunja kiunoni mpaka ile mzuka inaisha jamani.
 
Ndugu umesahau ya kuwa.....Uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti [HASHTAG]#Wahenga[/HASHTAG]
 
Karne ya 21 bdo mtu anawaza usafi wa chupi ya demu? Fanya kaz za maendeleo acha utoto au na ww ndyo umefeli o level mwaka jana?
Mbona umejaa upepo hivo ndugu? Je mada kama hii ina- affectije maendeleo ya mtu ? Unauhakika gani kwamba mtoa mada hama maendeleo yoyote ? Mi sioni shida tukiburudika na mada kama hizi baada ya kazi.
 
Toa pesa uone kama hata jipenda. Unataka mwanamke akuvalie mavazi mazuri umempa pesa??? Hivi mnajua hizo bidhaa mnazosema zinauzwa tshs ngapi?? Au mmezoea vya kuchinja tu??. Sidiria original full set na chupi yake sio chini ya laki Moja yaani yenye kiwango cha hali ya juu. Sasa jiulize unaweza kuhudumia???
Tena sijui ndo umeagiza toka Victoria Secret
 
SIKU NILIPOKOMA UZINZI

Niliingia na demu flan iv gest ,wakuu nilikutana na chupi hioo......, kaniki sio kaniki, dela sio dela, makirikiri sio makirikiri, Dushe nililala fasta ndo nikajua kweli mwili una hisia, Nilizuga naenda Kununua Salama so ikabd niache viatu vyangu, nilishtukia nje nimevaa kandambili badili, nilivyofka reception nikawaambia jmn chukuen buku ya kandambili zenu hizi, mm Uzinzi basi walicheka sana wale wadada, nikakodi boda boda akaniuliza broo unaelekea wap sasa? mana aliona mguuni alikua anajifcha kucheka asijekujiharibia kaz, nikamwambia wewe twende tuu popote, Asivyo na huruma akaenda kuniacha stend na mm akili si haikua vzr nikakubali, Nilikua nimeuramba Mkanda nje full kupendeza, Ilikua aibu kinyamaa kwa ufupi ubrazamen uliisha ghafla nikajitia sijali chochote ili kdg kupunguza tension kwa watu, kufika home ili kukwepa aibu kwa masister na wazazi niliruka ukuta nikapitia dirishani ule usiku siku lala.
 
Haya tumesikia tunajitahidi kununua chupi za 5000 ila mtupe ushirikiano[emoji26][emoji26][emoji26].
peke etu hatuwezi


ila tunayataka, tungekua tunatulia na waume zetu au wanaume wetu walioyazoea ,tatizo kuruka ruka kunasababisha tunakuja kuchambuliwa humu..
sio kila mwanaume wa kumwonyesha pindo la chupi zetu, wengine wako katika research[emoji26]
Heri ya ww umeliona hiyo mamilolo
 
SIKU NILIPOKOMA UZINZI

Niliingia na demu flan iv gest ,wakuu nilikutana na chupi hioo......, kaniki sio kaniki, dela sio dela, makirikiri sio makirikiri, Dushe nililala fasta ndo nikajua kweli mwili una hisia, Nilizuga naenda Kununua Salama so ikabd niache viatu vyangu, nilishtukia nje nimevaa kandambili badili, nilivyofka reception nikawaambia jmn chukuen buku ya kandambili zenu hizi, mm Uzinzi basi walicheka sana wale wadada, nikakodi boda boda akaniuliza broo unaelekea wap sasa mana aliona mguuni alikua anajifcha kucheka asijekujiharibia kaz, nikamwambia wewe twende tuu popote, Asivyo na huruma akaenda kuniacha stend na mm akili si haikua vzr nikakubali, Nilikua nimeuramba Mkanda nje full kupendeza, Ilikua aibu kinyamaa kwa ufupi ubrazamen uliisha ghafla nikajitia sijali chochote. kufika home ili kukwepa aibu kwa masiter na wazazi niliruka ukuta nikapitia dirishani ule usiku siku lala.
Ha ha haaaaaaaaa! Huyo utakuwa ulipata mke au mtoto wa mganga wa kienyeji... Ungejifanya mjanja angegeuka kobe[emoji1] [emoji1]
 
Mbona umejaa upepo hivo ndugu? Je mada kama hii ina- affectije maendeleo ya mtu ? Unauhakika gani kwamba mtoa mada hama maendeleo yoyote ? Mi sioni shida tukiburudika na mada kama hizi baada ya kazi.
Mkuu dume la kenge, umemjubu vzr, kama anataka issues za ujenzi wa reli aende jukwaa la uchumi
 
Back
Top Bottom