Wadada vs Wanaume

Wadada vs Wanaume

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa kweli lazima Yesu ashuke
Ni kweli, ukiacha unafiki ambao ni tabia ya mtu binafsi sisi wanawake tuna roho ndogo sana....huwa nawaangalia wanaume wanapotaniana naishia kucheka, utasikia we msenge, mjinga ndio majina yao wanayoitana. Huwa naimagine eti nimuite mwanamke mwenzangu we ma.laya njoo hapa [emoji3][emoji3][emoji3] vita yake atakuja kuamulia Yesu mwenyewe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kunasehemu mnakwama
Ni kweli, ukiacha unafiki ambao ni tabia ya mtu binafsi sisi wanawake tuna roho ndogo sana....huwa nawaangalia wanaume wanapotaniana naishia kucheka, utasikia we msenge, mjinga ndio majina yao wanayoitana. Huwa naimagine eti nimuite mwanamke mwenzangu we ma.laya njoo hapa [emoji3][emoji3][emoji3] vita yake atakuja kuamulia Yesu mwenyewe
 
Let's not argue about that kwa sababu katika hilo kila mtu ana mtazamo wake
Nikweli hatuwezi kukubaliana katika hili ila Mara nyingi wanawake hua hawapendani Mimi ninaweza nikadate Chick mmoja Na mwanaume mwenzangu tukijuana tutacheka nakufurahi nakuhadithiana vile ulivyo lakini ninyi hamuwezi
 
Hilo suala la kupendana sio kweli, ila nashukuru umenifumbua macho...tatizo lipo kwenye kuomba msamaha kumbe
Ndio zenu wanawake
FB_IMG_1560843158045.jpeg
 
Back
Top Bottom