Wadada wa Dar na Visigino vyao

Nahisi nilishawahi kuandika hili pia
Kama siyo huku sijui nj wapi unamkuta mdada mrembo usoni ila miguu Jamani[emoji119]
Kuna na hivi Vipako wanapaka miguuni Kama ndizi choma
Ule uzi wako kitambo sana
 
Mwanamke akivaa Raba nampenda zaidi sio kuvaa tusandal anaonekana kama punguani
 
Tunaovaa mabuti na viatu vya mtumba vya kufunika tunacomment wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…