Wadada wa humu niacheni

Wadada wa humu niacheni

Da mau mimi tena..?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mbona mi always niko upande wako, nani ka kusema??
Hebu tema mate nimchape..!!
Sasa da mau mi nikuchukue nakujua.??
Halafu mimi sina bifu na mtu yoyote humu..!!
Sema ww hutaki kuniona nacheka ukigombana na watu wako ilo ndo tatizo lako..!
Leo siumeshadadia eti mie nikatoto kazuri kama hunijui mie unatoka wapi kusema nimimi sijui shunie ni usalama wajf so anajua watu je wewe huoni id zipo nyingi na ukiangalia wanavyoandika utajua huyu ni fulani huyu ni fulani mbona mie sihangaiki nawao??
 
Nafuu mie bangi wewe malapu lapu yale machafu na bado kama mpo group hizo ni shida zenu mnaaniandama sana kama ninakula kwa mamazenu , kisa nini wanaume wa huku wananini hadi muwe mnawasi wasi??
wewe mimi humu ndani sina mwanaume na wala sjafikia level za kupapatikia wanaume haswa wa mitandaoni hilo moja
pili siwezi kukimbizana na kichaa manasote tutaonekana vichaa
 
Maybe anajua mtu ukiwa upande wake Maanake na maadui zake wawe wako,, kitu kisichowezekana
Mimi humu simtagigi mtu amseme mtu mie niko kivyangu nanikitukanwa na watu najipangaga kivyangu . Sijaomba msaada wamtu wala wakusaidiwa . Hili ni jukwaa huru hakuna urafiki ila sio mtu aje kunionea huruma na huku akiona na dhihakiwa wanacomment na kulike hiyo ndio shida
 
Leo siumeshadadia eti mie nikatoto kazuri kama hunijui mie unatoka wapi kusema nimimi sijui shunie ni usalama wajf so anajua watu je wewe huoni id zipo nyingi na ukiangalia wanavyoandika utajua huyu ni fulani huyu ni fulani mbona mie sihangaiki nawao??
Tatizo da mau unapenda kujishtukia na wewe..!!
Bora ungeuliza ujibiwe, kwahiyo huu uzi umenifungulia mimi..?? 🀣🀣🀣🀣

Wenzio tulikuwa tunaongelea id nyingine kabisa ilikuwa inatukana, halafu punguza hasira ujue da mau ww brand kubwa..!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Unashusha brand you know 😎
Ukifatilia maneno ya humu utapata kisukari bure 😘😘😘
 
Mimi humu simtagigi mtu amseme mtu mie niko kivyangu nanikitukanwa na watu najipangaga kivyangu . Sijaomba msaada wamtu wala wakusaidiwa . Hili ni jukwaa huru hakuna urafiki ila sio mtu aje kunionea huruma na huku akiona na dhihakiwa wanacomment na kulike hiyo ndio shida
Am your big fan Unique Flower .. And am very sorry Kama Kuna siku nilishawahi kukukwaza,, I hope you know ninavyokupenda na siwezi kuwa mnafki sio kwako tu, niko hivyo kwa mtu yeyote yule anayenizunguka.. sio humu tu
 
☝️☝️☝️☝️☝️ wewe ni mnafiki na mchonganishi na ipo siku tu watu watajua hilo kwa wanaokujua kuwa wewe ni rafiki yao . Wandani mie zaidi ya huku sikujui nafuu.
Weee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sasa mbona mi huku sina rafiki..!!
Da mau hebu kunywa maji kwanza ushushe presha..!!
Aliyekwambia humu kuna marafiki kakudanganya, humu tunaishi km msitu wenye wanyama wakali..!!
Ukitoa info zako na ukijirahisisha lazima jf uione chungu.!!
Swali kwako; Je kuna member yoyote umewahi kukutana naye.??
 
Back
Top Bottom