Wadada wa humu niacheni

Wadada wa humu niacheni

Nawewe mwembamba kama unaebola tulia aisee acha kujiona special na unanjaa hujielewi unaelekea wapi unasura ngumu maandazi ya jela wanawake wahovyoo kazi shida tu . Kama maisha magumu nimewapa au nikujishaua tu kazi kuchukuliwa nyota na nabado marinda yote huna .
Kwani leo mwezi ngapi jamani?🏃🏃🏃🏃🙆
 
Jamani da mau kasema hana shida na madanga yenu, mkae kwa kutulia..!! 😂😂😂
Halafu wanaume mnaomsema da mau kumbe pembeni mnatamani kummiliki mumkome nitawachamba kwa niaba yeke.!!

Da Mau brand kubwa jf hivyo tusingependa kuona mnataka kuishusha kwa wivu wenu 😜
Utafika mbali sana dada
 
Back
Top Bottom