Mamlaka haijaamua kuwashughulia vilivyoInakuwaje wadada wameongoza maandamano kwenye nchi yenye sheria, msimamo mkali?
Rejea jibu langu hapo juuImekuwaje hadi sasa wameendelea na hayo maandamano bila kujali nani atakufa au madhara gani yatatokea?
WasahauJe, kupitia maandamano wataweza fanikisha lengo lao?
Na ww hutaki kuvaa hijabu?Watanzania twashindwa nini?
Watanzania waoga kama fisi anayesubiri simba auwe yeye achukue mizoga.Inakuwaje wadada wameongoza maandamano kwenye nchi yenye sheria, msimamo mkali?
Imekuwaje hadi sasa wameendelea na hayo maandamano bila kujali nani atakufa au madhara gani yatatokea?
Je, kupitia maandamano wataweza fanikisha lengo lao?
Watanzania twashindwa nini?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Huwezi shinda wananchi wakiamuaMamlaka haijaamua kuwashughulia vilivyo
Watanzania waoga kama fisi anayesubiri simba auwe yeye achukue mizoga.
Sawa mkuu
Ubaya wa hayo maandano hupelekea machafuko na baada ya hapo nchi haitawaliki tena
Wabongo wengi wako wanashangilia uhalifu wa Putin!
Kuanzia asbh Mpaka usiku radio Ni mziki,,udaku na michezo...siku vumbi la mkongo likikatazwa ndio yatatokea haya maandamano ya muda mrefu