Kaandamane wewe na ukoo wakoInakuwaje wadada wameongoza maandamano kwenye nchi yenye sheria, msimamo mkali?
Imekuwaje hadi sasa wameendelea na hayo maandamano bila kujali nani atakufa au madhara gani yatatokea?
Je, kupitia maandamano wataweza fanikisha lengo lao?
Watanzania twashindwa nini?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Tz mambo mengi hayaendi Sawa Tena viongozi wanatukandamiza wazwaz tulipaswa tuwe barabaran kulaani hili.Inakuwaje wadada wameongoza maandamano kwenye nchi yenye sheria, msimamo mkali?
Imekuwaje hadi sasa wameendelea na hayo maandamano bila kujali nani atakufa au madhara gani yatatokea?
Je, kupitia maandamano wataweza fanikisha lengo lao?
Watanzania twashindwa nini?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Unaota itakua usisahau kuna JESHI ndio maana Rais ni Amri Jeshi Mkuu huwezi ukaingia Ikulu km unavyoingia kwenye banda lako la KukuBongo watawala wamejisahau lakini siku watu wakiamua kitaeleweka tuu, imagine wananchi milioni moja bila hata silaha wanaizunguka ikulu kwa week nzima kutaka Raisi ajiuzuru, utaua wangapi ? nakuhakikishia hakuna polisi wala mwanajeshi atajaribu kupiga mtu na Raisi atakimbia tuu, hakuna kitu kina nguvu kama maandamano
Jeshi hawawezi kuchukua amri kama hiyo ya kuzima maandamano, Jeshi hawaingiliagi maandamano ya wananchi wa ndani ,kazi yake ni kulinda mipaka ya nchi, jeshi litakaa pembeni na linaweza kuingilia kwa kuona Raisi kashindwa kuongoza sio kuzima maandamanoUnaota itakua usisahau kuna JESHI ndio maana Rais ni Amri Jeshi Mkuu huwezi ukaingia Ikulu km unavyoingia kwenye banda lako la Kuku
Hivi unafikiri Usalama wa Taifa ni nani au bado unaota?Jeshi hawawezi kuchukua amri kama hiyo ya kuzima maandamano, Jeshi hawaingiliagi maandamano ya wananchi wa ndani ,kazi yake ni kulinda mipaka ya nchi, jeshi litakaa pembeni na linaweza kuingilia kwa kuona Raisi kashindwa kuongoza sio kuzima maandamano
Hujui unachoandika go educate yourself acha kutumia hisiaHivi unafikiri Usalama wa Taifa ni nani au bado unaota?
Jibu: JESHI
Umewahi angalia ziara za Rais wale wanaomlinda pembeni na yeye wanakua ni akina nani?
Jibu: JESHI
Fanya fyoko km hujabokolewa nao hujui unachokiandika
Si unasema hua hawaingilii sasa fanya fyoko umzingue Rais wa Nchi mbele yao hivi wao wakiwa wanakuona unazingua alafu uone km hawajakubokoa na kukupeleka kuzimu fasta
Unaelewa unachokiandika lakini?
Sawa mkuuHujui unachoandika go educate yourself acha kutumia hisia
Inaweza ikawa wewe ndio mama yanguMama yako ana majibu