Wadada wa Jf are you real serious kwenye mahusiano????????

Wadada wa Jf are you real serious kwenye mahusiano????????

si kweli sasa mbona wengi hamjaolewa!!

Na aliyekwambia hatujaolewa ni nani? Hahaa kwani wewe wawajua wangapi humu? Tatizo watu mnaingia humu with a lot of fantansies. Wacheni kushobokea avatar, yatawatokea puani. My advise, msipende mahusiano ya gizani, mtu humjui utaishia kufanya trial and error.
 
Back
Top Bottom