Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Kwakweli apambane na hali yake,, asiforce tufanane kabisaApambane na hali yake asituletee kisirani chake hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli apambane na hali yake,, asiforce tufanane kabisaApambane na hali yake asituletee kisirani chake hapa
Huyu ni binti wa kiume. Huyu demu sio wa kikembaya sana manaume kujidai jike
Kwamba vocoba na kausha damu vinataka kummalizaMuda wa marejesho umekaribia na haelewi
Dada umetumia maneno 84 kuandika huu uzi.Asubuhi mmeamkaje.
Niseme hivi Gentleman wa jf mjitahidi sana kuwa makini na sisi mabinti wa jf.
Juzi nimefungua Acc nikajaribu kuwa real na kueleza uhalisia wa mambo hasa yanayotukuta sisi wadada juu ya mahusiano.
Actually nimeona nikipigwa sana hasa na jinsia yangu .
Ngoja niwaambieni wanaume humu ndani naona wadada wengi WASANII.
wanatengeneza mazingira ya kuonekana wema na wastraabu ila hawako hivyo hata.
Hakuna mwanamke asiyependa hela kwa dunia ya sasa.
Hakuna mwanamke asiyechepuka.
Gentleman be carefully with beautiful lady humu ndani wengi ni Scam.
Dada umetumia maneno 84 kuandika huu uzi.Asubuhi mmeamkaje.
Niseme hivi Gentleman wa jf mjitahidi sana kuwa makini na sisi mabinti wa jf.
Juzi nimefungua Acc nikajaribu kuwa real na kueleza uhalisia wa mambo hasa yanayotukuta sisi wadada juu ya mahusiano.
Actually nimeona nikipigwa sana hasa na jinsia yangu .
Ngoja niwaambieni wanaume humu ndani naona wadada wengi WASANII.
wanatengeneza mazingira ya kuonekana wema na wastraabu ila hawako hivyo hata.
Hakuna mwanamke asiyependa hela kwa dunia ya sasa.
Hakuna mwanamke asiyechepuka.
Gentleman be carefully with beautiful lady humu ndani wengi ni Scam.
Hii dhana ni potofu na sio kweli. Wapo wasio chepuka.Hakuna mwanamke asiyechepuka.
Well note, Wahenga waliwahi sema sio kila kingaacho ni dhahabu, Naungana na hoja hii.Gentleman be carefully with beautiful lady humu ndani wengi ni Scam.
Yaani hata chai haijashuka vizuri kaanza nongwa lake🤣Ngoja kwanza mbona una gubu asubuhi yote hiii
[emoji1787][emoji1787] Sina maana mbaya ila jembe kadri linavyolima ndio linazidi kuwa kali. Unaonekana hujawahi kulima weweJembe likilima linachakaa na linakuwa butu.
Unataka kusema umeitwaWw unajielewe kweli? [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] Rubbish
Pole ya nnDuh! Pole sana
Na mahangaiko.Pole ya nn
mimba nipewe na nani?Huyu mjomba apewe mimba atulie
Hata kwa uchawi tu.
wanatengeneza mazingira ya kuonekana wema na wastraabu ila hawako hivyo hata.Asubuhi mmeamkaje.
Niseme hivi Gentlemen wa jf mjitahidi sana kuwa makini na sisi mabinti wa jf.
Juzi nimefungua Acc nikajaribu kuwa real na kueleza uhalisia wa mambo hasa yanayotukuta sisi wadada juu ya mahusiano.
Actually nimeona nikipigwa sana hasa na jinsia yangu .
Ngoja niwaambieni wanaume humu ndani naona wadada wengi WASANII.
wanatengeneza mazingira ya kuonekana wema na wastraabu ila hawako hivyo hata.
Hakuna mwanamke asiyependa hela kwa dunia ya sasa.
Hakuna mwanamke asiyechepuka.
Gentleman be carefully with beautiful lady humu ndani wengi ni Scam.
Inaonekana hajuiHakuna asiyependa hela ndyo lakini tunatafuta na sisi za kwetu hatutegemei kuhongwa kama wewe hapo,, hivi unajua kama hakuna kitu kizuri kama kula hela ya jasho kwanza halafu nyingine zije kama nyongeza 😋😋😋