General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Ni kweli wanaboa sana..!View attachment 503504 View attachment 503505 View attachment 503506 View attachment 503507 Kiukweli huwa mnatutia genye sana na hizi avatar.
Yani unatamani kumfuata mtu PM kisa avatar yake.
Afu mkija humu mnalalamika mnasumbuliwa. Si muweke avatar ya sura mbaya muone km kuna mtu atakusumbua?
Hahaha sharifa mohamediMbona mimi yangu hiyo siwezi kuweka sura ya mtu mwingine wakati mwenyewe sura ninayo
Atakuwa Miss Natafuta .Kama yule miss nani cjui
Anatutia genye sana kwakwel